Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,699
- 3,088
Jana nimepita hi barabara kwa kweli nimesikitika sana na kuwaonea huruma watumiaji wa hii barabara na mwisho nikauchukia uongozi wote wa wilaya ya temeke
Barabara muhimu kama hii inayotumiwa na watu wengi inakuwa na mihandaki kiasi kwamba magari ya abiria na ya watu binafsi yanazimika katika hayo mahandaki na kuongeza shida kwa watumiaji wa hii barabara
Hu ni mwaka wa 10 sasa hii barabara kila mwaka inajazwa kifusi na kusawazishwa vizuri inabaki kuwekwa rami tu lakini rami haiwekwi na ikija mvua inaondoa kifusi chote alafu wanaanza tena kujaza kifusi na kuijenga kila mwaka wanafanya hivi Mara mbili au tatu sitakosea nikisema hii barabara kuna watu wameguza kuwa mradi wa kupiga pesa
Hi barabara inapande mbili Ilala na Temeke lakini cha kushangaza kipande cha Ilala chote kimejengwa kwa rami ila kipande cha Temeke ndio kila mwaka kinajengwa lakini hakikamiliki ikija mvua inaharibu mvua zikiisha wanaanza tena kujaza kifusi
Inawezekana mda huu tayari cheki ya kujaza kifusi inaandaliwa maana kwa hali jinsi ilivyo ni lazima kifusi kijazwe haraka
Nawatakia kazi njema viongozi wote wa wilaya ya Temeke
Barabara muhimu kama hii inayotumiwa na watu wengi inakuwa na mihandaki kiasi kwamba magari ya abiria na ya watu binafsi yanazimika katika hayo mahandaki na kuongeza shida kwa watumiaji wa hii barabara
Hu ni mwaka wa 10 sasa hii barabara kila mwaka inajazwa kifusi na kusawazishwa vizuri inabaki kuwekwa rami tu lakini rami haiwekwi na ikija mvua inaondoa kifusi chote alafu wanaanza tena kujaza kifusi na kuijenga kila mwaka wanafanya hivi Mara mbili au tatu sitakosea nikisema hii barabara kuna watu wameguza kuwa mradi wa kupiga pesa
Hi barabara inapande mbili Ilala na Temeke lakini cha kushangaza kipande cha Ilala chote kimejengwa kwa rami ila kipande cha Temeke ndio kila mwaka kinajengwa lakini hakikamiliki ikija mvua inaharibu mvua zikiisha wanaanza tena kujaza kifusi
Inawezekana mda huu tayari cheki ya kujaza kifusi inaandaliwa maana kwa hali jinsi ilivyo ni lazima kifusi kijazwe haraka
Nawatakia kazi njema viongozi wote wa wilaya ya Temeke