Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 365
Wanisamehe Kama nawakosea naujua vema usemi wa no research no right to speak
Lakin Mimi NAISHI uswazi Kuna Mambo yanaendelea mtaani huku Ni hatalishi kabisa na Yana athir watu LAKINI sioni hatua za maksudi zinachukuliwa na kinacho niuma nikwamba haya Mambo yapo NDANI ya uwezo wa SERIKALI za chini kabisa...
Unakutana na mabango ya AJIRA nanamba za simu wameweka ukipiga unaona harufu ya utapeli kabisaaaa
Unakutana na matangazo ya waganga wa jadi n.k jamani najua kunawaganga wamesajiliwa na wanalipa Kodi n.k lakin kila wanao weka mabango mitaani NIKWELI wanatambulika?
Kingine jamani hii kuungwa na Freemason imekaaje mbona Kama imekaa kitapeli Sana ?
SERIKALI za MITAA kwani hamuwezi kuchunguza na kuzuia hizi Mambo mitaani kwetu? Zinatukera...
NB: MFANO WA MABANGO HAPA CHINI YAPO MTAANI KWANGU HILO LAAJIRA NIMEWAPIGIA WAMESEMA NIENDE TEMEKE MWISHO NAENDA NITALETA MREJESHO...
HILO LINGINE NIMEOGOPA KUPIGA MWENYE ROHO APIGE AWA CHARANGE
View attachment 1860001
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Lakin Mimi NAISHI uswazi Kuna Mambo yanaendelea mtaani huku Ni hatalishi kabisa na Yana athir watu LAKINI sioni hatua za maksudi zinachukuliwa na kinacho niuma nikwamba haya Mambo yapo NDANI ya uwezo wa SERIKALI za chini kabisa...
Unakutana na mabango ya AJIRA nanamba za simu wameweka ukipiga unaona harufu ya utapeli kabisaaaa
Unakutana na matangazo ya waganga wa jadi n.k jamani najua kunawaganga wamesajiliwa na wanalipa Kodi n.k lakin kila wanao weka mabango mitaani NIKWELI wanatambulika?
Kingine jamani hii kuungwa na Freemason imekaaje mbona Kama imekaa kitapeli Sana ?
SERIKALI za MITAA kwani hamuwezi kuchunguza na kuzuia hizi Mambo mitaani kwetu? Zinatukera...
NB: MFANO WA MABANGO HAPA CHINI YAPO MTAANI KWANGU HILO LAAJIRA NIMEWAPIGIA WAMESEMA NIENDE TEMEKE MWISHO NAENDA NITALETA MREJESHO...
HILO LINGINE NIMEOGOPA KUPIGA MWENYE ROHO APIGE AWA CHARANGE
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app