Viongozi wa Vyama vya Upinzania Tanzania msikate tamaa, soma historia ya Rais mpya wa Zambia utajifunza kitu

SOPINTO

Senior Member
Oct 19, 2020
155
385
KUPATA UONGOZI KATIKA NGAZI YA NAFASI YA URAIS SIO JAMBO LA DAKIKA MBILI , UVUMILIVU , KUMUOMBA MUNGU , KUANDAA SERA SHIRIKISHI , KUPIGANIA DEMOKRASIA ,KUWA MAONO YA MBELE NI BAADHI VITU VINAVYOTAKIWA KUANGALIWA SANA WAKATI WA KUANDAA NJIA.

Rais Mpya wa Zambia na vikwazo alivyopitia kutoka katika jeshi la Polisi na viongozi wa kilichokuwa Chama tawala nchini Zambia

Hakainde Hichilema born 4 June 1962 is a Zambian businessman and politician who is the President-elect of Zambia. After having contested five previous elections in 2006, 2008, 2011, 2015 and 2016, he won the 2021 presidential election with over 59% of the vote.He has led the United Party for National Development since 2006

Early life and career
Hichilema was born in a village in Monze District in present-day Zambia. He received a scholarship to study at the University of Zambia and graduated in 1986 with a bachelor's degree in Economics and Business Administration. He thereafter pursued an MBA in Finance and Business Strategy at the University of Birmingham in the United Kingdom.

He served as the chief executive officer of both Coopers and Lybrand Zambia (1994–1998) and Grant Thornton Zambia (1998–2006).

Political career

Hichilema is a member of the opposition United Party for National Development, a liberal political party. Following the death of Anderson Mazoka in 2006, he was elected as the party's new President. He also served as the leader of the United Democratic Alliance (UDA), an alliance of three opposition political parties.

In the 2006 election, Hichilema was the candidate of the UDA and ran against incumbent president Levy Mwanawasa of the Movement for Multiparty Democracy and Patriotic Front candidate Michael Sata. He received the endorsement of former President Kenneth Kaunda. The election was held on 28 September 2006 and Hichilema took third place with about 25% of the vote.

Hichilema ran as the UPND candidate in the 2008 election, which was called following the death of President Levy Mwanawasa. He came 3rd with 19.7% of the vote. In June 2009, Hichilema's party, the UPND, formed a pact with Michael Sata's Patriotic Front (PF) to contest the 2011 election together. However, indecision on the pact candidate, deep mistrust and accusations of tribalism from both sides resulted in the collapse of the pact in March 2011.

He was one of the two main candidates in the January 2015 presidential election, which he lost by a narrow margin of 27,757 votes (1.66%) against the ruling party's candidate, Edgar Lungu. Hichilema denounced the election as a sham and urged his supporters to remain calm. He again faced Lungu as the main opposition candidate in the August 2016 presidential election, and was again narrowly defeated.

In April 2017, he was arrested on suspicion of treason and charged with attempting to overthrow the government. He was in prison for 4 months before being given a Nolle prosequi.

Arrest & treason charge
Hichilema was arrested on 11 April 2017. On the night of 11 April 2017 the Zambian Police broke and entered Hakainde Hichilema's compound to arrest the country's main opposition leader, ordered by President Edgar Lungu’s government and charged with treason after he was accused of endangering the president's life after his motorcade allegedly refused to give way to the one transporting President Lungu, a case which many viewed as a minor traffic offence and not one that could amount to treason. Hichilema strongly denied the charge, which carries a maximum sentence of death penalty.

Police misconduct during arrest
The police used excessive force to enter Hichilema's residence damaging his home and property, beat up all his workers, stole colossal sums of money, jewellery, as well as underwear, shoes, speakers, blankets, carpets and food from the kitchen and defecated on Mr. Hichilema's bed. Teargas canisters were thrown inside Hichilema's home gassing Hichilema, his asthmatic wife, and his children, who collapsed several times due to inhaling the gas.

Time in jail
Hichilema said in an interview on HARDtalk that during his time in prison he was held in solitary confinement for eight days without food, water, light or visitation, was tortured by having his private parts pepper sprayed, and accused president Lungu of having tried to kill him.

His wife, Mutinta, was turned away by prison officials when she took food for him. Hichilema's arrest was the subject of the episode of Al Jazeera's The Stream TV program titled Is Zambia's Democracy in Danger which aired on 30 May 2017.

Police warning and caution in 2020
On 23 December 2020, Hichilema received a warning and caution at the Zambian Police Headquarters in Lusaka for an alleged offence of "conspiracy to defraud contrary to section 313 of the Penal Code, Cap 87 of the Laws of Zambia", relating to the purchase of a property in 2004. As Hichilema arrived for questioning, police clashed with UPND supporters. In an attempt to disperse the crowd, police reportedly shot dead a State Prosecutor and a UPND supporter.
 
Huyu HH wa Zambia hakuwahi kutekwa, kuporwa, kufilisiwa, kupigwa risasi Wala kupewa kesi ya kigaidi. Zambaia hakuna siasa za kinyama kama hapa Tanzania.

Tanzania mpk tuchapane kwanza na damu imwagike ndipo tutaheshimiana
 
Kitendo cha Lungu kukubali kushindwa huku akiwa ni rais ni ishara kwamba Zambia wapo miaka 300 mbele ya Tanzania.

Mwaka 2020, yule mshamba na shetani wa karne jiwe alishindwa uchaguzi lkn akawatumia polisi na usalama kusambaza kura feki kwenye mabegi meusi nchi nzima.

Kule Zanzibar mwaka 2015 CCM Zanzibar kupitia katibu wao huko visiwani walikubali kushindwa na kumpa nchi maalimu Seif (hata clip ipo mitandaoni). Lkn Mkapa akaenda akapindua kauli na kusema uchaguzi urudiwe na cuf wakasusa.

Ili kuufikia ustaarabu wa Zanmbia, watanzania inabidi tuchapane na damu imwagike
 
Licha ya kupitia magumu yote hayo lakini zambia wana katiba nzuri kulinganisha na hili la kwetu!!kwani ni mala ngapi zambia rais anashindwa na anakubali?hata huyo licha ya kuwa anashindwa lakini alikuwa anaona kabisa kuwa anashindwa kihalali, sio huu uhuni unaofanyika huku, karatasi zw kupigia kura zinaonekana mtaani hata kabla ya siku ya uchaguzi!!ila mwendazake mungu amuweke kunapostahili kwani hii ya 2020, ilikuwa kiboko!!mwenyekiti wa tume akishatangaza fulani kashinda tu basi hakuna pa kwenda!!
 
kulalamika sio jibu , kila mtu akilalamika na atakuwa jibu? hayo yote yanajulikana sasa what next...
Kitendo cha Lungu kukubali kushindwa huku akiwa ni rais ni ishara kwamba Zambia wapo miaka 300 mbele ya Tanzania.

Mwaka 2020, yule mshamba na shetani wa karne jiwe alishindwa uchaguzi lkn akawatumia polisi na usalama kusambaza kura feki kwenye mabegi meusi nchi nzima.

Kule Zanzibar mwaka 2015 CCM Zanzibar kupitia katibu wao huko visiwani walikubali kushindwa na kumpa nchi maalimu Seif (hata clip ipo mitandaoni). Lkn Mkapa akaenda akapindua kauli na kusema uchaguzi urudiwe na cuf wakasusa.

Ili kuufikia ustaarabu wa Zanmbia, watanzania inabidi tuchapane na damu imwagike
 
kulalamika sio jibu , kila mtu akilalamika na atakuwa jibu? hayo yote yanajulikana sasa what next...
Hamasa na elimu viendelee kutolewa kwa umma wa watanzania. Ili wawe na wivu na haki yao, na kila atakayejaribu kupokonya haki yao wawe na hasira naye kisha wamshughulikie.

Ifike mahali serikali iwe inaogopa nguvu ya umma.
 
Zambia wanajitambua,kama ni mmoja wanasema ni mmoja.Bongo ni bendera fuata upepo.
Kuanzia kwa Raisi wa Kwanza Dr Kenneth Kaunda alipokubali siasa za vyama vingi alikubali bila shingo upande, na alipobwaga na Chiruba alikubali matokea.
Lakini kwetu ni kinyume utamsikia mtangulizi wa taifa letu,baada ya kutoka madarakani akilaumu katiba ya sasa wakati ndio yeye aliipendekeza,akaipigia debe,akaisimamia harafu akamwaga wino.
Hapa kwetu katiba utafikiri ni jini kashkash au rocket science. Katiba ni mkataba kati ya mtawala na mtawaliwa.
Hadi pale CCM na serikali yake itakapozaliwa mara ya pili wakajitambua kuwa ni kama wananchi wengine wakaaacha kufanya mambo ya blakadabla basi nuru italingalisha taifa letu juu ya mataifa mengine.
 
KUPATA UONGOZI KATIKA NGAZI YA NAFASI YA URAIS SIO JAMBO LA DAKIKA MBILI , UVUMILIVU , KUMUOMBA MUNGU , KUANDAA SERA SHIRIKISHI , KUPIGANIA DEMOKRASIA ,KUWA MAONO YA MBELE NI BAADHI VITU VINAVYOTAKIWA KUANGALIWA SANA WAKATI WA KUANDAA NJIA.

Rais Mpya wa Zambia na vikwazo alivyopitia kutoka katika jeshi la Polisi na viongozi wa kilichokuwa Chama tawala nchini Zambia

Hakainde Hichilema born 4 June 1962 is a Zambian businessman and politician who is the President-elect of Zambia. After having contested five previous elections in 2006, 2008, 2011, 2015 and 2016, he won the 2021 presidential election with over 59% of the vote.He has led the United Party for National Development since 2006

Early life and career
Hichilema was born in a village in Monze District in present-day Zambia. He received a scholarship to study at the University of Zambia and graduated in 1986 with a bachelor's degree in Economics and Business Administration. He thereafter pursued an MBA in Finance and Business Strategy at the University of Birmingham in the United Kingdom.

He served as the chief executive officer of both Coopers and Lybrand Zambia (1994–1998) and Grant Thornton Zambia (1998–2006).

Political career
Hichilema is a member of the opposition United Party for National Development, a liberal political party. Following the death of Anderson Mazoka in 2006, he was elected as the party's new President. He also served as the leader of the United Democratic Alliance (UDA), an alliance of three opposition political parties.

In the 2006 election, Hichilema was the candidate of the UDA and ran against incumbent president Levy Mwanawasa of the Movement for Multiparty Democracy and Patriotic Front candidate Michael Sata. He received the endorsement of former President Kenneth Kaunda. The election was held on 28 September 2006 and Hichilema took third place with about 25% of the vote.

Hichilema ran as the UPND candidate in the 2008 election, which was called following the death of President Levy Mwanawasa. He came 3rd with 19.7% of the vote. In June 2009, Hichilema's party, the UPND, formed a pact with Michael Sata's Patriotic Front (PF) to contest the 2011 election together. However, indecision on the pact candidate, deep mistrust and accusations of tribalism from both sides resulted in the collapse of the pact in March 2011.

He was one of the two main candidates in the January 2015 presidential election, which he lost by a narrow margin of 27,757 votes (1.66%) against the ruling party's candidate, Edgar Lungu. Hichilema denounced the election as a sham and urged his supporters to remain calm. He again faced Lungu as the main opposition candidate in the August 2016 presidential election, and was again narrowly defeated.

In April 2017, he was arrested on suspicion of treason and charged with attempting to overthrow the government. He was in prison for 4 months before being given a Nolle prosequi.

Arrest & treason charge
Hichilema was arrested on 11 April 2017. On the night of 11 April 2017 the Zambian Police broke and entered Hakainde Hichilema's compound to arrest the country's main opposition leader, ordered by President Edgar Lungu’s government and charged with treason after he was accused of endangering the president's life after his motorcade allegedly refused to give way to the one transporting President Lungu, a case which many viewed as a minor traffic offence and not one that could amount to treason. Hichilema strongly denied the charge, which carries a maximum sentence of death penalty.

Police misconduct during arrest
The police used excessive force to enter Hichilema's residence damaging his home and property, beat up all his workers, stole colossal sums of money, jewellery, as well as underwear, shoes, speakers, blankets, carpets and food from the kitchen and defecated on Mr. Hichilema's bed. Teargas canisters were thrown inside Hichilema's home gassing Hichilema, his asthmatic wife, and his children, who collapsed several times due to inhaling the gas.

Time in jail
Hichilema said in an interview on HARDtalk that during his time in prison he was held in solitary confinement for eight days without food, water, light or visitation, was tortured by having his private parts pepper sprayed, and accused president Lungu of having tried to kill him.

His wife, Mutinta, was turned away by prison officials when she took food for him. Hichilema's arrest was the subject of the episode of Al Jazeera's The Stream TV program titled Is Zambia's Democracy in Danger which aired on 30 May 2017.

Police warning and caution in 2020
On 23 December 2020, Hichilema received a warning and caution at the Zambian Police Headquarters in Lusaka for an alleged offence of "conspiracy to defraud contrary to section 313 of the Penal Code, Cap 87 of the Laws of Zambia", relating to the purchase of a property in 2004. As Hichilema arrived for questioning, police clashed with UPND supporters. In an attempt to disperse the crowd, police reportedly shot dead a State Prosecutor and a UPND supporter.
Mungu ni mwema,polisi waliokuwa wanatii maagizo haramu hatimaye wanakuwa chini ya Hichilema,nchi huru haitegemei polisi,nchi huru husikiliza mawazo ya upande wa pili,nchi huru inapenda kukosolewa,nchi huru hujibu hoja kwa hoja na si mtutu wa bunduki,aibu kwake Lungu kama ilivyo aibu kwa Sirro na ccm kwa ujumla.
 
Huyu HH wa Zambia hakuwahi kutekwa, kuporwa, kufilisiwa, kupigwa risasi Wala kupewa kesi ya kigaidi. Zambaia hakuna siasa za kinyama kama hapa Tanzania.

Tanzania mpk tuchapane kwanza na damu imwagike ndipo tutaheshimiana
This is the point.
Hiki ndicho kilicho baki
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom