Viongozi wa upinzani, iwe funzo kuhudhuria misiba. JF tuliwaonya leo mnapiga kelele

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Jamii forum ; umekuwa ni mfano wa kuingwa kwa viongozi kwa kuwakumbusha , umuhimu wa kushirikia katika mambo ya kijamiii; Kifo sio suala la Kisiasa; Tulilalamika humu kuhusu DR SLAA , kutoonekana kwenye misiba mikubwa . Marehemu Ndesamburo kuhudhulia misiba.

Walikuwa wanakejeli sana kuhusu JK kuudhulia misiba na comment mbovu

Kiafrica :
1.Misiba ndio sehemu ya kusameheana kutakana misamaha.
2. sehemu ya kuondoa tofauti zetu
3. Ni sehemu ya kuonyesha umoja wetu

Kwa misiba hii ; Tunalo la kujifunza.

Ni matumaini yangu watakuwa wanahudhulia misiba iwe ya CCM Wananachama wa ukawa , viongozi wenye heshima na wananchi .

ukweli mchungu , mwisho wa kuwasilisha
 
Jamii forum ; umekuwa ni mfano wa kuingwa kwa viongozi kwa kuwakumbusha , umuhimu wa kushirikia katika mambo ya kijamiii; Kifo sio suala la Kisiasa; Tulilalamika humu kuhusu DR SLAA , kutoonekana kwenye misiba mikubwa . Marehemu Ndesamburo kuhudhulia misiba.

Walikuwa wanakejeli sana kuhusu JK kuudhulia misiba na comment mbovu

Kiafrica :
1.Misiba ndio sehemu ya kusameheana kutakana misamaha.
2. sehemu ya kuondoa tofauti zetu
3. Ni sehemu ya kuonyesha umoja wetu

Kwa misiba hii ; Tunalo la kujifunza.

Ni matumaini yangu watakuwa wanahudhulia misiba iwe ya CCM Wananachama wa ukawa , viongozi wenye heshima na wananchi .

ukweli mchungu , mwisho wa kuwasilisha

Naunga mkono hoja..na huwezi kwenda msibani unapewa mkono hupokei
 
Vijana wa marehemu wajifunze; kikao ni familia na viongozi wa chadema .
Tuwe tunaudhuria misiba . Pesa maua
 
Jamii forum ; umekuwa ni mfano wa kuingwa kwa viongozi kwa kuwakumbusha , umuhimu wa kushirikia katika mambo ya kijamiii; Kifo sio suala la Kisiasa; Tulilalamika humu kuhusu DR SLAA , kutoonekana kwenye misiba mikubwa . Marehemu Ndesamburo kuhudhulia misiba.

Walikuwa wanakejeli sana kuhusu JK kuudhulia misiba na comment mbovu

Kiafrica :
1.Misiba ndio sehemu ya kusameheana kutakana misamaha.
2. sehemu ya kuondoa tofauti zetu
3. Ni sehemu ya kuonyesha umoja wetu

Kwa misiba hii ; Tunalo la kujifunza.

Ni matumaini yangu watakuwa wanahudhulia misiba iwe ya CCM Wananachama wa ukawa , viongozi wenye heshima na wananchi .

ukweli mchungu , mwisho wa kuwasilisha
Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar ilianzia kwa viongozi walipokutana kwenye msiba.
 
Jamii forum ; umekuwa ni mfano wa kuingwa kwa viongozi kwa kuwakumbusha , umuhimu wa kushirikia katika mambo ya kijamiii; Kifo sio suala la Kisiasa; Tulilalamika humu kuhusu DR SLAA , kutoonekana kwenye misiba mikubwa . Marehemu Ndesamburo kuhudhulia misiba.

Walikuwa wanakejeli sana kuhusu JK kuudhulia misiba na comment mbovu

Kiafrica :
1.Misiba ndio sehemu ya kusameheana kutakana misamaha.
2. sehemu ya kuondoa tofauti zetu
3. Ni sehemu ya kuonyesha umoja wetu

Kwa misiba hii ; Tunalo la kujifunza.

Ni matumaini yangu watakuwa wanahudhulia misiba iwe ya CCM Wananachama wa ukawa , viongozi wenye heshima na wananchi .

ukweli mchungu , mwisho wa kuwasilisha
Ukweli gani sasa unaodhani umeusema kiasi unauita mchungu
 
ufipa mmezoea kutafuta kiki misibani hata aibu hamnayo!
Ila 2020 hamfikishi hata 25% ya kura
 
Jamii forum ; umekuwa ni mfano wa kuingwa kwa viongozi kwa kuwakumbusha , umuhimu wa kushirikia katika mambo ya kijamiii; Kifo sio suala la Kisiasa; Tulilalamika humu kuhusu DR SLAA , kutoonekana kwenye misiba mikubwa . Marehemu Ndesamburo kuhudhulia misiba.

Walikuwa wanakejeli sana kuhusu JK kuudhulia misiba na comment mbovu

Kiafrica :
1.Misiba ndio sehemu ya kusameheana kutakana misamaha.
2. sehemu ya kuondoa tofauti zetu
3. Ni sehemu ya kuonyesha umoja wetu

Kwa misiba hii ; Tunalo la kujifunza.

Ni matumaini yangu watakuwa wanahudhulia misiba iwe ya CCM Wananachama wa ukawa , viongozi wenye heshima na wananchi .

ukweli mchungu , mwisho wa kuwasilisha
Yan sijakuelewa kabisa. Nikuulize Ulikuwa unataka kusema nini? Habar yako haijakamilika
 
VIJANA WA MAREHEMU WAJIFUNZE; KIKAO NI FAMILIA NA VIONGOZI WA CHADEMA .
TUWE TUNAUDHURIA MISIBA .
PESA MAUA
Kwa mtazamo wako, unahisi family ya Ndesa ilikuwa na uhitaji sana wa watu msibani?
 
umesahau Watoto wa Marehemu Kabwe, walipopewa mkono na Bashite waligoma kupokea..?Sio kila mkono ni wakupokea kisa upo msibani


4-11.jpg
 
Back
Top Bottom