Jana nilimuona yule mama Jaji akipiga mkwala kwenye luninga kuwa ifikapo tarehe 31/12/20011 lazima kila kiongozi wa uma awe
amejaza fomu maalumu za kutaja mali na madeni aliyonayo bila kuficha lolote. Pamoja na kwamba naafiki maudhui ya sheria
ya maadili ya viongozi wa uma inayowapa viongozi wetu sharti hilo ili kuwadhibiti viongozi hao wasijinufaishe isivyo halali kupitia nyadhifa zao, lakini hakuna ushahidi wa jinsi sheria hiyo ilivyofanikiwa kuzuia viongozi wetu wasituibie. Hata hivyo kipengele cha kutaja
mali ni kama vile kipo kinyume cha katiba hususani haki ya faragha"Right to Privacy". Mali na madeni aliyonayo mtu ni sehemu ya faragha yake. iweje alazimishwe kutangaza? Great thinkers tujaribu kulitazama hili kwa undani.
amejaza fomu maalumu za kutaja mali na madeni aliyonayo bila kuficha lolote. Pamoja na kwamba naafiki maudhui ya sheria
ya maadili ya viongozi wa uma inayowapa viongozi wetu sharti hilo ili kuwadhibiti viongozi hao wasijinufaishe isivyo halali kupitia nyadhifa zao, lakini hakuna ushahidi wa jinsi sheria hiyo ilivyofanikiwa kuzuia viongozi wetu wasituibie. Hata hivyo kipengele cha kutaja
mali ni kama vile kipo kinyume cha katiba hususani haki ya faragha"Right to Privacy". Mali na madeni aliyonayo mtu ni sehemu ya faragha yake. iweje alazimishwe kutangaza? Great thinkers tujaribu kulitazama hili kwa undani.