Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=4][/h]
Kufuatia vurugu za siku nne mfululizo huko Zanzibar, hii leo Sheikh Farid pamoja na viongozi wenzake wanne wa kundi la uamsho wamefikishwa mahakamani kujibu mashataka ya kusababisha vurugu.
Ili kufahamu yaliyojiri Grace Kabogo amezungumza na mwandishi wetu wa Zanzibar, Salma Said, ambaye yuko mahakamani hapo akifuatilia kwa ukaribu kesi hiyo.
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
.
Mwandishi: Grace Patricia Kabogo
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
AUDIO | DW.DE
Kufuatia vurugu za siku nne mfululizo huko Zanzibar, hii leo Sheikh Farid pamoja na viongozi wenzake wanne wa kundi la uamsho wamefikishwa mahakamani kujibu mashataka ya kusababisha vurugu.
Ili kufahamu yaliyojiri Grace Kabogo amezungumza na mwandishi wetu wa Zanzibar, Salma Said, ambaye yuko mahakamani hapo akifuatilia kwa ukaribu kesi hiyo.
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
.
Mwandishi: Grace Patricia Kabogo
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
AUDIO | DW.DE