dullyhami
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 560
- 147
karume alikuwa mtanganyika au mzanzibari?? kama alikuwa mzanzibari na unakubali alifanya hayo, iweje leo iwe haiwezekani tena kwa wazanzibari kuteswa zanzibar?
Nilikwambia, sio Karume tu mpaka Nyerere alifanya hayo, akawatoa kwenye magereza yao hadi kwake Tanganyika, na hadi hatukuwaona tena.... hilo nalo pia lipo japokuwa unalikwepa kuzungumzia , na hayo ya Uamsho leo nadhani ni mwendelezo wa yale muloyaridhi kwa Baba yenu wa Taifa,