Viongozi wa Tume ya kuratibu mambo ya walimu kuteuliwa na Rais si sawa!

NJALI

JF-Expert Member
Jan 9, 2014
1,534
1,089
Naomba niseme Ukweli, Mimi ni Mwalimu idara ya Sekondari nina mashaka na hii tume wa kuratibu mambo ya walimu viongozi wake wake kuteuliwa na Rais. Serikali kawaida haipendi viongozi watakao ibana mbavu Hata ikikosea, ndio maana CHAMA cha walimu kimefariki kibudu, tunatukanwa, tunakashifiwa, viongozi wa CWT NA TUCTA wameweka ntaa masikioni.

Hawa vigogo Walio teuliwa na Rais watatoa jicho kutetea maslahi ya walimu Kweli au watalinda matumbo yao kwanza? Walimu wenzangu tusije tukawa tumegawa bunduki tukaazima Rungu ili ya kuimarishia ulinzi.
 
In short walimu ni punching bag la serikali ya CCM.

kibongo bongo ualimu ni kama laana vile, mwl hajiamini anachimbwa bit na mkuu wa shule kisa of ya marking.. kwa madada zetu ndo uuuuuwi,,!!! wananapakuliwa mpaka na maacademic kisa tu apunguziwe vpndi.. koh koh koh nimepaliwa na mate kwa umbea!!

mnisamehe walimu wenzangu
 
We Nanga punguza shisha, huna ubavu wa kunitimua kazi. Kuwa Mwalimu haimanishi uwe msukule usihoji. Heri kufa siku moja ukiwa umekaa kuliko kuishi miaka 100 ukiwa umechuchumaa
 
Kwani naogopa kufukuzwa ? Ukifukuzwa kazi ya ualimu Tanzania haina machungu yoyote, kwanza walimu tunalipwa posho wala sio mshahara. I have nothing to gain neither to loose
 
kibongo bongo ualimu ni kama laana vile, mwl hajiamini anachimbwa bit na mkuu wa shule kisa of ya marking.. kwa madada zetu ndo uuuuuwi,,!!! wananapakuliwa mpaka na maacademic kisa tu apunguziwe vpndi.. koh koh koh nimepaliwa na mate kwa umbea!!

mnisamehe walimu wenzangu

hivi benki ya walimu inaanza lini?

maana zile mbegu walizopanda wanahisa, wangewekeza ktk kilimo pengne zingezaa maradufu!
 
Kwani naogopa kufukuzwa wewe poyoyo? Ukifukuzwa kazi ya ualimu Tanzania haina machungu yoyote, kwanza walimu tunalipwa posho wala sio mshahara. I have nothing to gain neither to loose
Laiti wangepatikana walimu 100 Kama wewe ualimu ungeheshimiwa Tanzania .....
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom