Uchaguzi 2020 Viongozi wa taasisi kama Polisi na NEC kuibeba CCM dhidi ya vyama vya upinzani ni kuelewa kwamba wapinzani wakichukua serikali wataondolewa vyeo vyao

CCM ndiye kivuruge wa hayo yote!

Hiki chama chakavu kimekuwa kikiwapelekea barua za mialiko na kuwalazimisha makamanda wa polisi kushiriki vikao vyao na hivyo kuwapa maagizo ya hovyo kuwalazmisha kuwakandamiza wapinzani! Binafsi namshauri kwa upande mwingine ningemshauri Lissu hao makamanda wa polis wote awaache, ili haohao ndio watumike kuishi na CCM kama jinsi CCM inavyoishi sasa na wapinzani!

Nazani hawa watafaa zaidi kwakuwa wanachotumwa kufanya sasa watakuwa wanakikumbuka, hivyo watatekeleza kwa viwango vilevile walivyofundishwa na ccm, ila tofauti itakuwa ni jina tu la chama kilichoteuliwa kusakamwa kwa kila aina ya ukandamizaji!
 
Siyo sawa kuondoa wote maana kama askari amefundishwa kutii na akatii, unamhukumu vipi kwa kutii? Hata, kwa mfano, mapadre huapa kumtii askofu, sasa akimtii anakuwa amefanya kosa gani?
Mimi nadhani watahitaji kupewa mafunzo ya ziada kuwa kuna amri za kutii (zilizo ndani ya sheria) na nyingine kutozitii (kama zipo nje ya sheria
 
Sasa Kama hali ndo hyo mbona wanakatisha watu tamaa kupiga kura, Kama katiba ndo Ina makosa na chama tawala hakipo tayar kuondoka au kubadili katiba si Bora uchaguzi usiwepo t, waseme watatawala wao milele tu watu tujue basi kila mtu afate mambo yake maana km ndo hivo muda wote huu wa zoezi la uchaguzi ni kuupoteza bure tu wakat wao viongozi wanajua Rais ni nani au, maana wananchi wengne wanaenda kupiga kura wakijua viongozi watatenda haki lkn Kama hali ndo hii inakatisha tamaa na kukasirisha sana
 
Siyo sawa kuondoa wote maana kama askari amefundishwa kutii na akatii, unamhukumu vipi kwa kutii? Hata, kwa mfano, mapadre huapa kumtii askofu, sasa akimtii anakuwa amefanya kosa gani?
Mimi nadhani watahitaji kupewa mafunzo ya ziada kuwa kuna amri za kutii (zilizo ndani ya sheria) na nyingine kutozitii (kama zipo nje ya sheria
MKuu, ukiwa jeshini umefundishwa kutii, kamanda akaakuamuru umpige risasi askari mwingine kwa sababu ya wivu wake wa mapenzi, utatii?
 
Sasa Kama hali ndo hyo mbona wanakatisha watu tamaa kupiga kura, Kama katiba ndo Ina makosa na chama tawala hakipo tayar kuondoka au kubadili katiba si Bora uchaguzi usiwepo t, waseme watatawala wao milele tu watu tujue basi kila mtu afate mambo yake maana km ndo hivo muda wote huu wa zoezi la uchaguzi ni kuupoteza bure tu wakat wao viongozi wanajua Rais ni nani au, maana wananchi wengne wanaenda kupiga kura wakijua viongozi watatenda haki lkn Kama hali ndo hii inakatisha tamaa na kukasirisha sana
Hapo umenena jambo. KUna mawili, sio rahisi kwa Wakurugenzi kuwatangaza wapinzani kushinda, na si rahjisi vyombo vya dola kujitiisha kwa chama cha upinzani wakishinda
 
CCM ndiye kivuruge wa hayo yote!

Hiki chama chakavu kimekuwa kikiwapelekea barua za mialiko na kuwalazimisha makamanda wa polisi kushiriki vikao vyao na hivyo kuwapa maagizo ya hovyo kuwalazmisha kuwakandamiza wapinzani! Binafsi namshauri kwa upande mwingine ningemshauri Lissu hao makamanda wa polis wote awaache, ili haohao ndio watumike kuishi na CCM kama jinsi CCM inavyoishi sasa na wapinzani!

Nazani hawa watafaa zaidi kwakuwa wanachotumwa kufanya sasa watakuwa wanakikumbuka, hivyo watatekeleza kwa viwango vilevile walivyofundishwa na ccm, ila tofauti itakuwa ni jina tu la chama kilichoteuliwa kusakamwa kwa kila aina ya ukandamizaji!
Hwa makamanda kina Sirro ni watu wa kuwaonea huruma tu. Nakwambia Sirro akisikia Tundu ameshinda ataenda kumpigia magoti na kulia kama mtoto mdogo amsamehe. Atasema ni Magufuli alimpotosha na kumponza. Vivyo hivyo hawa watu wa NEC, wakuu wa mikoa na wilaya, Mahakimu na ma jaji, wakurugenzi nk

Hata Ndugae ataenda kulia na kuomba msamaha!
 
Back
Top Bottom