Viongozi wa Simba Sports 1995 - 2000

pilau

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
1,593
443
...... Miaka hiyo wanachama wa Simba walikuwa wanaanzisha migogoro katika klabuni hapo kila kukicha bila ya sababu za msingi .....kila kukicha ni mahakamani.... kesi..... kusimamisha viongozi..... lakini cha kushangaza wanachama wale waliokuwa wanapendelea migogoro wakati ule wamo kati ya wanachama ambao wanaoanzisha mgogoro huu ulioanzishwa na kuzimwa hivi karibuni...... fikiria wale wale wa miaka 10 iliyopita ndo walewale wanataka kuendeleza fujo......kama unayo kumbukumbu watafute viongozi wa miaka hiyo watakueleza.........
 
KATIBU WA ZAMANI WA SIMBA HASANOO KORTIN
KWA WIZI WA PEMBE ZA NDOVU Mtuhumiwa namba moja wa biashara haramu ya
kusafirisha na kuuza nyara za serikali,Pembe za
ndovu,Hong Kong ChinaKatibu wa zamani wa
Simba, Hassan Othman (Hasanoo, kipelekwa
kizimbani kusomewa mashitaka yanayomkabili
yeye na wengine kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,Dar es salaam jana. MWENYEKITI wa Chama cha Soka Pwani (Corefa),
Hassani Othman maarufu kama Hasanoo (43) na
wenzake watano wamefikishwa katika
Mahakamaya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa
na mashtaka matatu, likiwemo la uhujumu
uchumi na kusafirisha pembe za ndovu (Meno ya Tembo)** kutoka Dar es Salaam kwenda Hong
Kong, yenye thamani ya Sh1.1 bilioni.
 
Back
Top Bottom