GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,385
- 108,450
- Thread starter
- #21
Foolish...!!!
Foolish...!!!
Unatak mpka nilete ushahidi??Hapana Mkuu na acheni Kumuamini KAGAMEE kwa kusema nimepewa Timu leo na kula Tsh Milioni 50 na kwamba sijui nimeishindwa Kazi.
Nikikabidhiwa Kitengo Yanga SC ataanza Kufungwa mfululizo na hamtoamini nyote kwani hakuna Mtu ninayezijua vyema Passwords za Yanga SC kama Mimi GENTAMYCINE na hata Ubingwa wanaoutaka na Kuuota hawatouchukua kamwe.
POLENI SANANikiwa kama kiongozi mwandamizi wa Simba Sc tumeshakubalia mechi ya leo hatuchezi hadi hizi mvua zikatike, haiwezekani timu kubwa kama Simba kucheza kwny madimbwi ya maji