GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,455
- 108,567
Tokea jana tumewaambia zugeni hilo Basi kubwa la Wachezaji wapandisheni tu Mashabiki ila Timu ( Wachezaji ) wapandisheni katika 'Coastal' na wapitisheni ile barabara ya ya chini ya Turiani kuelekea Mtibwa na siyo hii ya Juu mnayopita ( mliyopita ) hamjasikia na badala yake mmepitia njia ile ile mliyotegewa Miba ( Uchawi ) na Mtibwa Sugar FC.
Leo mkitoka Sare au mkifungwa tafadhali mtatueleza na hiyo Timu sasa itakuwa chini yetu Mafia wa Soka la Bongo wakiongozwa nami GENTAMYCINE na Watu wangu kadhaa. Mmenikera sana na nasikia hata akina Muzamiru, Dilunga na Manula wamewapeni Ushauri wa njia ya kupitia bado mmewabishia mkijifanya mnajiamini na Timu yetu inaendeshwa Kisasa.
Leo tunataka Ushindi mkifungwa mtatutambua kwani tumeshawavumilia vya Kutosha halafu Wewe Mzee Mangungu na CEO Barbara na Mratibu wq Timu Abbas kwanini mmakuwa Wabishi pale tukiwashauri Mambo ya Kimafia na Sisi Mamafia Wabobezi?
Leo mkitoka Sare au mkifungwa tafadhali mtatueleza na hiyo Timu sasa itakuwa chini yetu Mafia wa Soka la Bongo wakiongozwa nami GENTAMYCINE na Watu wangu kadhaa. Mmenikera sana na nasikia hata akina Muzamiru, Dilunga na Manula wamewapeni Ushauri wa njia ya kupitia bado mmewabishia mkijifanya mnajiamini na Timu yetu inaendeshwa Kisasa.
Leo tunataka Ushindi mkifungwa mtatutambua kwani tumeshawavumilia vya Kutosha halafu Wewe Mzee Mangungu na CEO Barbara na Mratibu wq Timu Abbas kwanini mmakuwa Wabishi pale tukiwashauri Mambo ya Kimafia na Sisi Mamafia Wabobezi?