Nimekuwa nikishangazwa na viongozi wa simba na yanga kusajili wachezaj kwa mamilion ya pesa hlf uwanja wa mazoez hawana!!! Yaan wanatumia mil 500 kusajili wachezaj hlf wanawapeleka kufanya mazoez kwny viwanja vya malisho ya ng,ombe
Tatizo sio simba na yanga bali ni system nzima ya ccm na utawala wake.!
mods mko wapi? ametumia lugha chafu huyu