Hili la wabunge wa viti maalumu kutinga katika viunga vya Bunge na kula kiapo ni shambulio la fedhea la maisha ya watu.
Vyama vya siasa vinapaswa kujua kuwa uwepo wao si kwa maslahi yao tu, kwani wanachama waingia gharama kubwa Sana ili chama kiwe na uhai.
Ndugu zetu wameuliwa, wametekwa, wapo magerezani, wametiwa ulemavu na familia zao zimekua kwenye mashaka afu nyie mnafanya as if hakuna kilichotokea!!!
Hatukatai kuwa na juhudi za maliziano na kutengeneza mambo yaliyovurugwa. Ila ni hekima karekebisha mambo haya kwa uwazi ili kutoa fursa ya kupata uhalali wa kisiasa na kijamii na kuzuia uhuni usije ukajirudia tena.
Hii tabia ya kufikia makubaliano kimya kimya, gafla tunawaona mnakaribia mezani na kuanza kula bila kutujulisha mlichokubaliana ni usariti juu ya wanachama wenu.
Ifike mahali tuoneane huruma , sisi mnatuhamasisha kuwaunga mkono hata kwa gharama ya kifo au kuachwa walemavu afu nyie mnaenda kula fedha na kutembelea magari meusi . Huu ni usariti wa hali ya juu.
CDM msimamo wenu tunaungoja kwa hamu Katika hili lililotokea leo la wanachama wenu kuonekana kukubali ubunge viti maalumu na kula kiapo bungeni leo.
Iwe gizani au mchana tutawapinga na kuwakataa kwa dhambi hii. Hujuma hii itakua ni dhambi kubwa kuliko ata hao mnaosema waliharibu uchaguzi na kupora ushindi.
Hatutawasamehe na tutawashitaki kwenye mahakama ya mbinguni muazibiwe ipaswavyo . Hamtakuwa salama , roho zenu katu hazitopata amani, na umauti hautoondoka katika vizazi vyenu na roho ya usariti haitokoma kwenye vizazi vyenu vyote.
Msituone wananchi wa taifa ili Kama misukule mnaoweza kutugeuza na kutuchezea kadri mnavyopenda kwa kuendekeza mambo ya gizani na ushetani.
Yakiweko makubaliano na maliziano yafanyeni kwa uwazi. Tujue nani yuko nyuma yake kwa madhumuni yapi na wapi na yanapewa baraka na wananchi wapi.
Vyama vya siasa vinapaswa kujua kuwa uwepo wao si kwa maslahi yao tu, kwani wanachama waingia gharama kubwa Sana ili chama kiwe na uhai.
Ndugu zetu wameuliwa, wametekwa, wapo magerezani, wametiwa ulemavu na familia zao zimekua kwenye mashaka afu nyie mnafanya as if hakuna kilichotokea!!!
Hatukatai kuwa na juhudi za maliziano na kutengeneza mambo yaliyovurugwa. Ila ni hekima karekebisha mambo haya kwa uwazi ili kutoa fursa ya kupata uhalali wa kisiasa na kijamii na kuzuia uhuni usije ukajirudia tena.
Hii tabia ya kufikia makubaliano kimya kimya, gafla tunawaona mnakaribia mezani na kuanza kula bila kutujulisha mlichokubaliana ni usariti juu ya wanachama wenu.
Ifike mahali tuoneane huruma , sisi mnatuhamasisha kuwaunga mkono hata kwa gharama ya kifo au kuachwa walemavu afu nyie mnaenda kula fedha na kutembelea magari meusi . Huu ni usariti wa hali ya juu.
CDM msimamo wenu tunaungoja kwa hamu Katika hili lililotokea leo la wanachama wenu kuonekana kukubali ubunge viti maalumu na kula kiapo bungeni leo.
Iwe gizani au mchana tutawapinga na kuwakataa kwa dhambi hii. Hujuma hii itakua ni dhambi kubwa kuliko ata hao mnaosema waliharibu uchaguzi na kupora ushindi.
Hatutawasamehe na tutawashitaki kwenye mahakama ya mbinguni muazibiwe ipaswavyo . Hamtakuwa salama , roho zenu katu hazitopata amani, na umauti hautoondoka katika vizazi vyenu na roho ya usariti haitokoma kwenye vizazi vyenu vyote.
Msituone wananchi wa taifa ili Kama misukule mnaoweza kutugeuza na kutuchezea kadri mnavyopenda kwa kuendekeza mambo ya gizani na ushetani.
Yakiweko makubaliano na maliziano yafanyeni kwa uwazi. Tujue nani yuko nyuma yake kwa madhumuni yapi na wapi na yanapewa baraka na wananchi wapi.