Joachim Mabula
Member
- Mar 12, 2009
- 85
- 108
Rais, Waziri Mkuu, Waziri wa Elimu, M/kiti wa Tume ya Uchaguzi, Mbunge, Spika Mstaafu na Wanachuo wengine wanne kutoka CHUO KIKUU CHA BUGANDO wafukuzwa chuo!
Hii ni kutokana na Viongozi hawa kuwa wasumbufu kwa mkuu wa chuo kuwasilisha madai ya wanachuo waliyotumwa kutoka katika vikao rasmi vya kisheria.
Madai hayo yalikuwa ni:-
1. Kulipishwa laki 2 ya matibabu wakati wanatibiwa na Mfuko wa bima ya Afya NHIF kwa sh 50400/- hivyo chenji ya 149600 (ambayo kwa idadi ya wanachuo wote ni takribani Millioni 500 kwa mwaka ) inabaki na haijulikani inaenda wapi.
2. Madai ya chuo kupandisha ada kutoka 3.7m kwenda 4.3m bila ruhusa ya TCU.
3. Kupigwa penalti ya laki 2 (inakadiriwa kuwa milioni 300 kwa mwaka kutokana na idadi ya wanachuo wanaochelewa kulipa ada) kwa wanachuo maskini wanaoshindwa kulipa ada kwa wakati.
4. Kutozwa michango ya nyongeza Tsh 100,000 kila muhula.
Habari zaidi, soma=>Unyonyaji na unyanyasaji ndani ya chuo kikuu Bugando
Hii ni kutokana na Viongozi hawa kuwa wasumbufu kwa mkuu wa chuo kuwasilisha madai ya wanachuo waliyotumwa kutoka katika vikao rasmi vya kisheria.
Madai hayo yalikuwa ni:-
1. Kulipishwa laki 2 ya matibabu wakati wanatibiwa na Mfuko wa bima ya Afya NHIF kwa sh 50400/- hivyo chenji ya 149600 (ambayo kwa idadi ya wanachuo wote ni takribani Millioni 500 kwa mwaka ) inabaki na haijulikani inaenda wapi.
2. Madai ya chuo kupandisha ada kutoka 3.7m kwenda 4.3m bila ruhusa ya TCU.
3. Kupigwa penalti ya laki 2 (inakadiriwa kuwa milioni 300 kwa mwaka kutokana na idadi ya wanachuo wanaochelewa kulipa ada) kwa wanachuo maskini wanaoshindwa kulipa ada kwa wakati.
4. Kutozwa michango ya nyongeza Tsh 100,000 kila muhula.
Habari zaidi, soma=>Unyonyaji na unyanyasaji ndani ya chuo kikuu Bugando