Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
"Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela.
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela.