Habari JF,
Chama tawala mwaka huu kinachakua viongozi wake toka shina hadi taifa..,hadi sasa mwenendo unaenda vzr...wanancchi kwa saa wanasubiri final team ya CCM hasa ngazi ya taifa....,
Kwa maana hiyo basi ni wakati muafaka wa CCM kutimua mavuvuzela wote ambao kazi yao nikujitagfutia publicity wao na wakundi yao badala ya chama.
Pia tabia ya wale wenzewtu na wale sio wenzetu iepukwe la sivyooo la sivyoo kiukweli moto wa chadema utaendelea kuwakaa hadi CCm mtatafutana mchawi na hamtamjua maana misingi ya chama itakiukwa.
Wapeni wenye uwezo wa kuongoza waongoze kama mnaitakia mema nchi hii na kama mnajitakia pia kuishi kwa amani baada ya uchaguzi wa 2015.
Propoganda ni style ya uongozi iliypitwa na wakatiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Chama tawala mwaka huu kinachakua viongozi wake toka shina hadi taifa..,hadi sasa mwenendo unaenda vzr...wanancchi kwa saa wanasubiri final team ya CCM hasa ngazi ya taifa....,
Kwa maana hiyo basi ni wakati muafaka wa CCM kutimua mavuvuzela wote ambao kazi yao nikujitagfutia publicity wao na wakundi yao badala ya chama.
Pia tabia ya wale wenzewtu na wale sio wenzetu iepukwe la sivyooo la sivyoo kiukweli moto wa chadema utaendelea kuwakaa hadi CCm mtatafutana mchawi na hamtamjua maana misingi ya chama itakiukwa.
Wapeni wenye uwezo wa kuongoza waongoze kama mnaitakia mema nchi hii na kama mnajitakia pia kuishi kwa amani baada ya uchaguzi wa 2015.
Propoganda ni style ya uongozi iliypitwa na wakatiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.