Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,257
Kile kibao pale kipo miaka na miaka hadi sasa Kinataka kuanguka chini, hakina kabisa hadhi ya kuonyesha kweli hiki ni kibao kinachoelekeza uwanja wa ndege ulipo.
Kibao kidogo mno utafikiri ni cha boda boda Jamanii kumbe kinaelekeza uwanja wa ndege tena wanaposhuka watalii na watu ma shughuli.
Badilisheni kile kibao pale haraka sana. Kinatia aibu, wekeni hata na screen kabisa inayoonyesha uelekeo na mandhari mazuri ya uwanja wetu bana.
Kibao ninachozungumzia ni kile pale njia panda ya Kuelekea KIA bara bara ya Moshi Arusha.
Acheni kukaa ofisini saa zote kana Kwamba mna obesity
Kibao kidogo mno utafikiri ni cha boda boda Jamanii kumbe kinaelekeza uwanja wa ndege tena wanaposhuka watalii na watu ma shughuli.
Badilisheni kile kibao pale haraka sana. Kinatia aibu, wekeni hata na screen kabisa inayoonyesha uelekeo na mandhari mazuri ya uwanja wetu bana.
Kibao ninachozungumzia ni kile pale njia panda ya Kuelekea KIA bara bara ya Moshi Arusha.
Acheni kukaa ofisini saa zote kana Kwamba mna obesity