Viongozi wa majuu walienda kuomboleza au kusheherekea S.A??

Wanajipiga selfie utadhani vi-teenager bana....halafu 'Chelle kanuna huyo:smile-big:. I think this was kinda out of place, though.

attachment.php
 
Michelle is a real black woman. Sie waswahili hatujipigi picha msibani bwana. Nimewashangaa kweli
Wanajipiga selfie utadhani vi-teenager bana....halafu 'Chelle kanuna huyo:smile-big:. I think this was kinda out of place, though.

attachment.php
 
Michelle is a real black woman. Sie waswahili hatujipigi picha msibani bwana. Nimewashangaa kweli

Color has nothing to do with anything there. Inappropriate behavior knows no color. Na kama wewe unavyowashangaa hao kujipiga selfie, kuna wengine wengi tu wanawashangaa Waafrika Kusini kuimba na kucheza huku wakiwa wamefiwa. Wengine hawaelewi kabisa mtu unawezaje kufiwa halafu ukaanza kuruka ruka barabarani kama mlevi.

Halafu ona hii. 'Chelle seems to not be impressed at all. Classic.

rtx16c2x-1-522x293.jpg
 
Color has everything to do with this particular one behavior, na wanaofanya hivyo weusi ni kwa kuiga tu. Weusi tunachukulia msiba kama a sacred thing, labda kwa sababu tunakufa more often than not.

Zile nyimbo na kucheza sijazifuatilia lakini nadhani ni za msiba. I mean like celebrating an old man. Kwani kwenu mbona naskia kuna hii tamaduni pia?

Hapo michelle nadhani yuko adsorbed kwenye events zinazoendelea. Mie sichukulii kama wivu. Pengine wanayoongelea pia ni mambo yasiyomhusu. Hahitaji kuwa possessive and manipulative. Na labda sio kamind ila ndio sura yake (in Natalia 's tone hahaha).
Color has nothing to do with anything there. Inappropriate behavior knows no color. Na kama wewe unavyowashangaa hao kujipiga selfie, kuna wengine wengi tu wanawashangaa Waafrika Kusini kuimba na kucheza huku wakiwa wamefiwa. Wengine hawaelewi kabisa mtu unawezaje kufiwa halafu ukaanza kuruka ruka barabarani kama mlevi.

Halafu ona hii. 'Chelle seems to not be impressed at all. Classic.

rtx16c2x-1-522x293.jpg
 
Last edited by a moderator:
Color has everything to do with this particular one behavior, na wanaofanya hivyo weusi ni kwa kuiga tu. Weusi tunachukulia msiba kama a sacred thing, labda kwa sababu tunakufa more often than not.

Color has nothing to do with anything there. Una empirical data gani ku-support hiyo contention yako? Na nini katika rangi ya ngozi ya mtu kinachosababisha hiyo 'behavior'? Geez!!!

I mean, unaongea tu kama wale ma-redneck ambao hudai u-crackhead unasababishwa na rangi ya ngozi kwa sababu crackheads wengi ni weusi. Lakini ukiwaonyesha crackheads wa kizungu wanaishiwa cha kusema.

I am sorry to say this but to claim that color "has everything" to do with the behavior of only three people (whom are not even all of the same color) is preposterous and smacks of breathtaking ignorance!! There is no other way to put it.

For the life of me I don't see any way color, in your words, "has everything" to do with it. You can't be serious.
 
Watu hawahuzuniki bali wanasherehekea maisha ya Mzee Mandela. Its time to learn and celebrate life of "one and the only one" Nelson Mandela. The world will never see again the likes of Mandela thats why people are celebrating.

Manabii wa Afrika wanaisha kabakia Mugabe peke yake. Nadhani uliona walivyomshangilia jana.
 
Kila nchi/kabila lina tamaduni zake. Mara ya kwanza nilistaajabu kuona watu wanapiga vigelegele msibani Tukuyu-Mbeya. Hii ya hapa S.A nikutokana na desturi zao hasa kwa mzee aliye na umri mkubwa. Pia kwa kipindi hiki s.a pamegeuka kuwa sehemu ya kujaa kutalii
 
Wasouth walisema kuwa wanayo majonzi ya kuodokewa na mpendwa wao.
Vile vile ngoma wanazocheza ni sehemu ya msiba kwa upande mmoja na sherehe kwa upande wa pili, kusherehekea maisha ya Mandela kwa umri mrefu aliojaliwa nao. Vilevile kwakuwa alikuwa akitaabika kwa ugonjwa muda mrefu basi wakati sasa amepumzika. (wanasema amepumzika kwa amani)
 
Kila nchi/kabila lina tamaduni zake. Mara ya kwanza nilistaajabu kuona watu wanapiga vigelegele msibani Tukuyu-Mbeya. Hii ya hapa S.A nikutokana na desturi zao hasa kwa mzee aliye na umri mkubwa. Pia kwa kipindi hiki s.a pamegeuka kuwa sehemu ya kujaa kutalii

Kweli mkuu mimi ni mwenyeji wa huko, Sina huakika kwa sasa ila kwa zamani mtu akifa ngoma zinapikwa, pombe zinanyweka, na vigeregere vinapigwa, wakielezea wasifu wa marehemu "imbalo" hii ni katika ila imani ya kuwa kuna sherehe tatu.
 
Ila si unajua tena ukiwa mke wa public figure,inawezekana hatomuuliza yameishia hapo hapo uwanjani
we vic wewe hivi unajua hao watu wanaishi kama sisi laiti tungekuwa tunaona maisha yao nje ya camera unaweza cheka. obama hadi kipindi cha campaign alikuwa anapeleka watoto shule na kuwarusisha ha haa so nice kibongobongo kukuta mdingi anakupeleka labda mambo safi kwelikweli it was his duty mke wake alikuwa anawaandalia chakula na nguo na kuwaamsha afu jamaa anawapeleka. infact mke wa jamaa yuko very straight and strict sio mpenda matani na mizaha kama mumewe kuna kipindi hadi yule binti mkubwa alipigwa beat kuonekana facebook mama sio wa kuchezea yule am sure siku hiyo obama aliipata ha ha haa hsaa
 
we vic wewe hivi unajua hao watu wanaishi kama sisi laiti tungekuwa tunaona maisha yao nje ya camera unaweza cheka. obama hadi kipindi cha campaign alikuwa anapeleka watoto shule na kuwarusisha ha haa so nice kibongobongo kukuta mdingi anakupeleka labda mambo safi kwelikweli it was his duty mke wake alikuwa anawaandalia chakula na nguo na kuwaamsha afu jamaa anawapeleka. infact mke wa jamaa yuko very straight and strict sio mpenda matani na mizaha kama mumewe kuna kipindi hadi yule binti mkubwa alipigwa beat kuonekana facebook mama sio wa kuchezea yule am sure siku hiyo obama aliipata ha ha haa hsaa
Michelle baadae aliona liwalo na liwe,michele yeye akaamua kukaa karibuna yule mama,yaani Obama alivyotoka kuhutubia akamkuta michelle ka switch kiti
 
Back
Top Bottom