meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
wakuu kuna habari kwamba viongozi wa madaktari katika hospitali za Dodoma na Ifakara wameitwa kwa OCD.bado wapo kwenye mahojiano.kama serikali ina madaktari wa jeshi kwa nini serikali inashurutisha madaktari kufanya kazi??