Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,948
- 18,648
Mimi ni Mkristu "pure". Nimezaliwa katika familia ya Kikiristu " pure". Ila sababu huwa sipendi unafiki naomba leo nipongeze viongozi wa serikali ya JWTZ ambao ni Waislamu toka enzi za Julius Kambarage Nyerere.
Nimejaribu kufatilia kwa umakini sana. Ukianzia ngazi ya urais, uwaziri na ubunge, inaonesha kama vile Tanzania imepata tunu ya viongozi waadilifu na wenye busara sana wanaotoka katika dini ya Kiislamu.
Naomba nitaje kwa mjina.
1. Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi
2. Rais mstaafu J. Kikwete
2. Makamu wa Rais awamu ya 5.
3. Waziri Mkuu, Majaliwa.
4. Hussein Mohamed Bashe (MB/ Wazir)
5. Prof. Mussa Hassad (CAG)
Hii list inaendelea
Kibinafsi nimekuwa nikivutiwa sana na aina ya uongozi wao, ukarimu, busara zao pamoja na nguvu zao za kujenga hoja.
Nimekuwa nikiamini kuwa waislamu ni dini yenye watu makatili, wauwaji na wenye roho mbaya sana. Ila hivi sasa naanza kushangaa ni mafunzo gani ya kiimani wanapewa mpaka wanakuwa watu wa namna hii katika uongozi.
Africa ukiangalia list ya Marais madictators, 70% ni Wakristu. Hivi Wakristu tunashida gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kufatilia kwa umakini sana. Ukianzia ngazi ya urais, uwaziri na ubunge, inaonesha kama vile Tanzania imepata tunu ya viongozi waadilifu na wenye busara sana wanaotoka katika dini ya Kiislamu.
Naomba nitaje kwa mjina.
1. Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi
2. Rais mstaafu J. Kikwete
2. Makamu wa Rais awamu ya 5.
3. Waziri Mkuu, Majaliwa.
4. Hussein Mohamed Bashe (MB/ Wazir)
5. Prof. Mussa Hassad (CAG)
Hii list inaendelea
Kibinafsi nimekuwa nikivutiwa sana na aina ya uongozi wao, ukarimu, busara zao pamoja na nguvu zao za kujenga hoja.
Nimekuwa nikiamini kuwa waislamu ni dini yenye watu makatili, wauwaji na wenye roho mbaya sana. Ila hivi sasa naanza kushangaa ni mafunzo gani ya kiimani wanapewa mpaka wanakuwa watu wa namna hii katika uongozi.
Africa ukiangalia list ya Marais madictators, 70% ni Wakristu. Hivi Wakristu tunashida gani?
Sent using Jamii Forums mobile app