GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Ni vigumu kwa mtu kumkosoa kiongozi wa Imani yake hata pale anapofanya makosa ya wazi katika jamii. Lakini naamini kwa hili Mungu yuko pamoja na mimi, Kinachofanywa na viongozi wa dini ya kiislamu sasa hivi ni wazi kuwa viongozi hao wamenunuliwa. 1. Nieleze wazi kuwa mimi sio mshabiki wa CHADEMA 2. Mimi sio mshabiki wa CCM 3. Nilikuwa mshabiki mkubwa wa CUF lakini kwa sasa nimeamua kukaa pembeni kwa sababu ambazo kwa sasa sitaki kuzieleza hapa jukwaani.
DHAMBI YA KUMKUMBATIA KIKWETE.
1.Ni wazi kuwa Kikwete ni kiongozi muovu asiyejali na asiyejua haki ni nini. Mtu asiyejali haki ni dhalimu na uislamu unatukataza kuwakumbatia wanaodhulumu na kututaka tuwatetee wanaodhulumiwa hata kama sio waislamu.
2. Dhambi nyingine ninayoiona hapa ni kuwa kuna mazingira yanayotia wasiwasi kuwa viongozi wa kiislamu mmepewa rushwa ili muweze kumtetea Bwana mkubwa huyo kwa kuitisha makongamano yanayochochea chuki za kidini. MUOGOPENI MUNGU HAKIKA MUTAULIZWA JUU YA MUNAYOYAFANYA.
3. Kikwete sio muumini wa kweli, kuingia msikitini mara moja moja na kuteua viongozi wenye majina ya kiislamu hakumfanyi kuwa mtu muhimu wa kutetewa na viongozi wa kiislamu.
4. Naomba mufahamumu kuwa miongoni mwa watu wanaoumizwa na kudhulumiwa na kikwete ni pamoja na waislamuwenyewe. Kwa hili nina mifano mingi lakini naomba nitoe mfano mmoja tu. Karibu asilimia 95 ya wakulima wa korosho ni waislamu, mwaka huu kikwete kwa kushirikiana na watendaji wake wa wilayani na mkoani amehusika kwa kiasi kikubwa kuwadhulumu wakulima hao korosho zao, wakulima waliamua kuunda kikundi chao na kuachana na mfumo ambao ulipendekezwa na Rais pamoja na waziri mkuu. Katika mfumo huo mkulima alikuwa analipwa Tsh 800, lakini wakulima walipoamua kuanzisha umoja wao kwa mara ya 1 wakauza Tsh 1,800. Dhuluma kubwa iliyofanywa na Kikwete ni kuwaagiza watendaji wa ngazi ya wilaya na mkoa kuuzuia umoja huo kukusanya korosho za wakulima hao. Mateso na mashaka makubwa yaliwakuta wakulima hao baada ya kitendo hicho cha muheshimiwa huyo ambaye binafsi namuweka katika kundi la WANAFIKI.
3. Kuteua viongozi wasio na sifa kwa maslahi yake binafsi na si Taifa. Bi Sofia Simba alimfukuza Husna Mwilima ndani ya UWT (Hongera mama) baada ya kumuona hafai. Ni kweli alikuwa hafai. Katika hali isiyokuwa ya kawaida Bi Husna Mwilima akateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Tandahimba. Uovu na ubaya anaoufanya Tandahimba, nendeni mkawaulize wananchi wa kule. Ni kiongozi mbaya, muhuni na asiye na sifa hali inayopelekea wananchi kudhani kuwa ni hawara wa kikwete.
Viongozi wangu MUOGOPENI MUNGU. Mmehusika kusambaza waraka ambao umetengenezwa na ccm ukionyesha kuwa Viongozi wa kikiristu wamewaita wachungaji na kuwataka wote wamchague Dr. Slaa kwa manufaa ya dini yao, Inawezekana lakini si kwa ule waraka. Kama unatumia akili ni wazi kuwa ule waraka umetengenezwa na kitengo cha Tambwe Hiza.
Mwisho nataka kuwaambia kuwa ni bora kumchagua kiongozi ambaye si muislamu lakini ni muadilifu, kwani mtume wetu aliwahi kuwaambia waislamu waende kwa Mfalme wa Ethiopia ambaye alikuwa mkristu lakini ni Muadilifu. Kama hakuna kosa lililofanywa na Dr. Slaa kwa waislamu kwanini iwe dhambi kumchagua? Mimi sio Mshabiki wa Dr. Slaa kwa sababu zangu binafsi lakini si za kidini. Kama anafaa wanaompenda wamchague. Mwisho waombeni radhi waislamu kwa kuwataka wamchague kiongozi huyo muovu.
DHAMBI YA KUMKUMBATIA KIKWETE.
1.Ni wazi kuwa Kikwete ni kiongozi muovu asiyejali na asiyejua haki ni nini. Mtu asiyejali haki ni dhalimu na uislamu unatukataza kuwakumbatia wanaodhulumu na kututaka tuwatetee wanaodhulumiwa hata kama sio waislamu.
2. Dhambi nyingine ninayoiona hapa ni kuwa kuna mazingira yanayotia wasiwasi kuwa viongozi wa kiislamu mmepewa rushwa ili muweze kumtetea Bwana mkubwa huyo kwa kuitisha makongamano yanayochochea chuki za kidini. MUOGOPENI MUNGU HAKIKA MUTAULIZWA JUU YA MUNAYOYAFANYA.
3. Kikwete sio muumini wa kweli, kuingia msikitini mara moja moja na kuteua viongozi wenye majina ya kiislamu hakumfanyi kuwa mtu muhimu wa kutetewa na viongozi wa kiislamu.
4. Naomba mufahamumu kuwa miongoni mwa watu wanaoumizwa na kudhulumiwa na kikwete ni pamoja na waislamuwenyewe. Kwa hili nina mifano mingi lakini naomba nitoe mfano mmoja tu. Karibu asilimia 95 ya wakulima wa korosho ni waislamu, mwaka huu kikwete kwa kushirikiana na watendaji wake wa wilayani na mkoani amehusika kwa kiasi kikubwa kuwadhulumu wakulima hao korosho zao, wakulima waliamua kuunda kikundi chao na kuachana na mfumo ambao ulipendekezwa na Rais pamoja na waziri mkuu. Katika mfumo huo mkulima alikuwa analipwa Tsh 800, lakini wakulima walipoamua kuanzisha umoja wao kwa mara ya 1 wakauza Tsh 1,800. Dhuluma kubwa iliyofanywa na Kikwete ni kuwaagiza watendaji wa ngazi ya wilaya na mkoa kuuzuia umoja huo kukusanya korosho za wakulima hao. Mateso na mashaka makubwa yaliwakuta wakulima hao baada ya kitendo hicho cha muheshimiwa huyo ambaye binafsi namuweka katika kundi la WANAFIKI.
3. Kuteua viongozi wasio na sifa kwa maslahi yake binafsi na si Taifa. Bi Sofia Simba alimfukuza Husna Mwilima ndani ya UWT (Hongera mama) baada ya kumuona hafai. Ni kweli alikuwa hafai. Katika hali isiyokuwa ya kawaida Bi Husna Mwilima akateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Tandahimba. Uovu na ubaya anaoufanya Tandahimba, nendeni mkawaulize wananchi wa kule. Ni kiongozi mbaya, muhuni na asiye na sifa hali inayopelekea wananchi kudhani kuwa ni hawara wa kikwete.
Viongozi wangu MUOGOPENI MUNGU. Mmehusika kusambaza waraka ambao umetengenezwa na ccm ukionyesha kuwa Viongozi wa kikiristu wamewaita wachungaji na kuwataka wote wamchague Dr. Slaa kwa manufaa ya dini yao, Inawezekana lakini si kwa ule waraka. Kama unatumia akili ni wazi kuwa ule waraka umetengenezwa na kitengo cha Tambwe Hiza.
Mwisho nataka kuwaambia kuwa ni bora kumchagua kiongozi ambaye si muislamu lakini ni muadilifu, kwani mtume wetu aliwahi kuwaambia waislamu waende kwa Mfalme wa Ethiopia ambaye alikuwa mkristu lakini ni Muadilifu. Kama hakuna kosa lililofanywa na Dr. Slaa kwa waislamu kwanini iwe dhambi kumchagua? Mimi sio Mshabiki wa Dr. Slaa kwa sababu zangu binafsi lakini si za kidini. Kama anafaa wanaompenda wamchague. Mwisho waombeni radhi waislamu kwa kuwataka wamchague kiongozi huyo muovu.