Nionavyo hawa hawafanyi kazi ambazo wanatakiwa kuzifanya na inanipa wasiwasi kama wanao uwezo wa kutuunganisha na tukawa kama zamani. Hawa walitakiwa kukemea kwa nguvu zote pale yule Mh. aliposema akisimama yeye ni kama Mungu kasimama.
Ninaamini Mungu anawaona.
Ninaamini Mungu anawaona.