Viongozi wa Kiafrika kujilimbikizia mali za wizi, nani wa kulaumiwa?

battawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2014
2,672
2,540
Imekuwa ni jambo la kawaida kutoka habari za ubadhirifu kwa viongozi wa Kiafrika.

Kila kiongozi anapotolewa madarakani kwa nguvu ya umma au mapiduzi ya kijeshi au kushindwa kwenye uchaguzi halali katika ballot boxa basi siri hufichuka jinsi gani viongozi wetu walivyokuwa malimbukeni wa kujikusanyia mali binafsi.

Sijui wana hofu kuwa pension haita watosheleza? Ni viongozi hao hao huwapigia wananchi mbiu ya kuongeza juhudi ya kazi ili nchi iweze kujitegemea na huku wakiranda duniani kutafuta usaidzi wa kimaendeleo.

Lakini la Kushangaza ,kila kukicha nchi zao zina didimia kwenye dimbwi la umasikini na ugumu wa maisha. Imekuwa hivyo kwa nchi zote za Afrika, hata kule Afrika ya Kusini hali ni mbaya zaidi,tena la kushangaza wale waliojiita wakombozi ndo hao hasa wanaoponda mali za nchi ,huku wakiwaachia jamii ya Kiafrika ikiogelea kwenye umasikini kila uchao.

Jacob Zuma ni wa mfano huo. Ama kule Zimbabwe Ndo siri imeibuka hivi karibuni ,kumbe Mugabe alikuwa na Cash isiyopungua $10 Milioni, Mashamba makubwa na majumba mbali mbali ya kifahari. Wakati yeye kawanyanganya Wazungu mashamba yao na kuwagawia wazalendo ekari 3 kila kaya ili wajisaidie.

Kumbe yeye ndo kawa Mzungu kwa kujimilikisha maelfu ya ekari. Hatimaye nchi yake imekumbwa na upungufu mkubwa wa chakula na uchumi kufa kabisa.

Ninachojifunza hapa, hawa viongozi wanatawala viumbe wajinga? Basi vipi wale wanao walinda(Jeshi) na kufanya uhuni huu nao hawana hisia? Basi hata wale marafiki basi wa nchi jiraniu hawawezi kuwaasa mienedo yao hii? Wazungu nao pia huwa wanayajua haya ,Mbona na o Huufyata Kimyaa hadi pale wanapotolewa madarakani? Kulikoni? au na wao wazungu hufaidika kwenye wizi huu?

Hebu chungulieni hapa habari ya Mugabe, Robert Mugabe died with $10m in cash and several houses, but left no will

The first official list of assets to be made public says the late Zimbabwean dictator left behind $10 million - AP
The wealth of Zimbabwe's former longtime president Robert Mugabe was long a mystery. Now the first official list of assets to be made public says he left behind $10 million and several houses when he died in September.

Some in Zimbabwe view that estate as far too modest for Mugabe, who ruled for 37 years and was accused by critics of accumulating vast riches and presiding over grand corruption.

The report by the state-run Herald newspaper on Tuesday does not mention any overseas assets, though it is thought that Mugabe had properties in neighboring South Africa and in Asia.

The report says there appears to be no will, though lawyers are still looking for one. The report cites the lawyers as saying the law stipulates that Mugabe's wife, Grace, and children will inherit the property in that case.

Mugabe also left behind a farm, 10 cars and 11 hectares (27 acres) of land that included an orchard at his rural home where he was buried. His daughter, Bona, registered the estate on behalf of the family, the report said.

Kule Sudani bado habari hazijatoka, lakini kule Kongo mnajuwa Mabutu Sese Seko alivyoikausha nchi. Hapa Zanzibar yasemekana,Waziri fulani wa fedha zama za Karume Mzee aliweka pesa nyingi nje, kule India na alipokufa Serikali ilizidai zile fedha,lakini serikali ya india ilikataa kuzitoa kesh,bali iliiwalazimisha wanunue bidhaa, ndio ukaona magari ya aina ya Tata hadi miaka ya karibuni na Vespa zilikuwa zinaletewa, na serikali ya Zanzibar ilianzisha shirika la kuuza magari na mengine yalitumika kama magari ya umma.Hii ikiwa kama ni sehemu ya fidia ya pesa Zile zilizoibwa .

Afrika na umasikini wa kudumu,viongozi kukwapua ,nani wa kulaumiwa?

Nawakilisha
 
1. Waliopitisha Katiba isiyo na vifungu vya kuwafunga viongozi wa aina hiyo
2. Kwa Tanzania walioua miiko ya viongozi ( Azimio la Arusha) na pia
3. Wananchi wenyewe kwanini hawataki kupaza sauti zao kukemea.
 
Mimi naungana nawe 100%.Wale wanaoitwa wapigania uhuru kiukweli wengi walipigania maslai yao na si ya waafrika.Wapigania uhuru waliwaadaa wengi wawape sapoti ili kimng'oa mkoloni kwa ahadi ya kula matunda ya uhuru matokeo yake ikawa kinyume chake baada ya wakoloni kuondoka wakageuka wakoloni weusi kwa kuwatendea maovu waafrika wenzao kuliko hata alivotenda mkoloni wakawaibia waafrika,wakazifirisi nchi zao na kuficha nje kama wataishi milele,wakamwaga damu za waafrika wenzao,wakawafanya waafrika wawe fukara ili wawatawale kirahisi.Mfano huwezi ukalinganisha zimbambwe ya Ian Smith na zimbabwe ya mugabe,sauzi ya makaburu kina Peter Botha na ya kina jaco zuma na wenzake,ni 10% ya waafrika ndo ufaidika na matunda ya uhuru 90% wametopea kwenye ufukara dhoofu hali,iliyosababishwa na watawala walafi baada ya kuuwa chumi zao.Maisha ya waafrika yamekuwa ya hovyo Sana baada ya uhuru watu wamefukarishwa tunaona hata hapa awamu ya kwanza iliwapora watu Mali zao kwa chuki kitu ambacho mkoloni akuwahi fanya waafrika wengi tu walikuwa na Mali toka enzi ya mkoloni wala hakuwa na shida na mwaafrika kumiliki Mali.Uchumi ulianza kufa baada ya uhuru kabla kila kitu kilienda sawa ajira zilikuwa za kuchagua kuanzia viwandani,mashambani,au ufanye biashara.Baada ya uhuru feki watawala walikumbatia mifumo ya ujamaa kwa sababu ujamaa unafuga udikteta hivo ilikuwa ni salama kwa watawala kuukumbatia ujamaa ili wabakie madarakani mda mrefu ili wazidi kuneemeka na kufaidika wao na jamaa zao.Tumeona familia za wapigania uhuru zikiwa mataikuni yaani mabilionea ( cheki familia ya kenyatta,do Santos,abacha,mobutu,mugabe,nk) wakiishi kifalme wakimiliki mali zilizofisadiwa na wazazi wao kwa kupora kodi za wananchi na kuwaacha wengi wakiwa wanyonge kabisa yaani malofa dhoofu hali.Ni salama na fahari kwa wakoloni weusi kuwatawala wanyonge watu fukara wajinga wasiojua kesho yao kuliko kuwatawala wasomi na matajiri.Wasomi na matajiri ndilo kundi lisomeshwalo namba hasa na watawala kwa kuhofia kuwabumburusha waliolala mafukara na wajinga wafumbue macho.
Nini kifanyike kwa waafrika ni kubaldili mifumo ya uongozi itakayowafanya watawala wawe viongozi na sio miungu.Ni salama zaidi kumkosoa Mungu kuliko mkoloni mweusi kesho utoiona utakutakana na risasi au utaishi jela kwa kubambikwa.Miaka 60 sasa Africa baada ya uhuru Africa imekuwa kiwanda cha kuzalisha wakimbizi,magonjwa,na umasikini duniani hali tunapokea misaada mingi kuliko bara zingine tuna Mali asili kuliko hata robo iliyochukuliwa na wakoloni weupe.Tumeshindwa kuvitumia kujiletea maendeleo tumebaki kuwalaumu wakoloni utadhani Korea kusini,China,Malaysia,hongkong,falme za kiarabu nao wangebaki kuwalaumu mabeberu wangefikia walipo sasa.
 
1. Waliopitisha Katiba isiyo na vifungu vya kuwafunga viongozi wa aina hiyo
2. Kwa Tanzania walioua miiko ya viongozi ( Azimio la Arusha) na pia
3. Wananchi wenyewe kwanini hawataki kupaza sauti zao kukemea.
Mwafrika yeyeto asipowekewa gavana yaani mfumo Wa kumdhibiti mtawala atageuka laana kwa anaowatawala.Inatakiwa mtawala akiboronga aozee jela
 
Hata hapa kwetu matumizi makubwa yasiyokuwa na tija ni ubadhirifu mkuu.
 
Imekuwa ni jambo la kawaida kutoka habari za ubadhirifu kwa viongozi wa Kiafrika.

Kila kiongozi anapotolewa madarakani kwa nguvu ya umma au mapiduzi ya kijeshi au kushindwa kwenye uchaguzi halali katika ballot boxa basi siri hufichuka jinsi gani viongozi wetu walivyokuwa malimbukeni wa kujikusanyia mali binafsi.

Sijui wana hofu kuwa pension haita watosheleza? Ni viongozi hao hao huwapigia wananchi mbiu ya kuongeza juhudi ya kazi ili nchi iweze kujitegemea na huku wakiranda duniani kutafuta usaidzi wa kimaendeleo.

Lakini la Kushangaza ,kila kukicha nchi zao zina didimia kwenye dimbwi la umasikini na ugumu wa maisha. Imekuwa hivyo kwa nchi zote za Afrika, hata kule Afrika ya Kusini hali ni mbaya zaidi,tena la kushangaza wale waliojiita wakombozi ndo hao hasa wanaoponda mali za nchi ,huku wakiwaachia jamii ya Kiafrika ikiogelea kwenye umasikini kila uchao.

Jacob Zuma ni wa mfano huo. Ama kule Zimbabwe Ndo siri imeibuka hivi karibuni ,kumbe Mugabe alikuwa na Cash isiyopungua $10 Milioni, Mashamba makubwa na majumba mbali mbali ya kifahari. Wakati yeye kawanyanganya Wazungu mashamba yao na kuwagawia wazalendo ekari 3 kila kaya ili wajisaidie.

Kumbe yeye ndo kawa Mzungu kwa kujimilikisha maelfu ya ekari. Hatimaye nchi yake imekumbwa na upungufu mkubwa wa chakula na uchumi kufa kabisa.

Ninachojifunza hapa, hawa viongozi wanatawala viumbe wajinga? Basi vipi wale wanao walinda(Jeshi) na kufanya uhuni huu nao hawana hisia? Basi hata wale marafiki basi wa nchi jiraniu hawawezi kuwaasa mienedo yao hii? Wazungu nao pia huwa wanayajua haya ,Mbona na o Huufyata Kimyaa hadi pale wanapotolewa madarakani? Kulikoni? au na wao wazungu hufaidika kwenye wizi huu?

Hebu chungulieni hapa habari ya Mugabe, Robert Mugabe died with $10m in cash and several houses, but left no will

The first official list of assets to be made public says the late Zimbabwean dictator left behind $10 million - AP
The wealth of Zimbabwe's former longtime president Robert Mugabe was long a mystery. Now the first official list of assets to be made public says he left behind $10 million and several houses when he died in September.

Some in Zimbabwe view that estate as far too modest for Mugabe, who ruled for 37 years and was accused by critics of accumulating vast riches and presiding over grand corruption.

The report by the state-run Herald newspaper on Tuesday does not mention any overseas assets, though it is thought that Mugabe had properties in neighboring South Africa and in Asia.

The report says there appears to be no will, though lawyers are still looking for one. The report cites the lawyers as saying the law stipulates that Mugabe's wife, Grace, and children will inherit the property in that case.

Mugabe also left behind a farm, 10 cars and 11 hectares (27 acres) of land that included an orchard at his rural home where he was buried. His daughter, Bona, registered the estate on behalf of the family, the report said.
Kule Sudani bado habari hazijatoka, lakini kule Kongo mnajuwa Mabutu Sese Seko alivyoikausha nchi. Hapa Zanzibar yasemekana,Waziri fulani wa fedha zama za Karume Mzee aliweka pesa nyingi nje, kule India na alipokufa Serikali ilizidai zile fedha,lakini serikali ya india ilikataa kuzitoa kesh,bali iliiwalazimisha wanunue bidhaa, ndio ukaona magari ya aina ya Tata hadi miaka ya karibuni na Vespa zilikuwa zinaletewa, na serikali ya Zanzibar ilianzisha shirika la kuuza magari na mengine yalitumika kama magari ya umma.Hii ikiwa kama ni sehemu ya fidia ya pesa Zile zilizoibwa .



Afrika na umasikini wa kudumu,viongozi kukwapua ,nani wa kulaumiwa?

Nawakilisha
Halafu unamsikia mtawala wa aina hii akijinadi kwenye majukwaa ya kisiasa kuwa yeye ni Rais wa wanyonge!

Kumbe "anawanyonga" wananchi wake taratibu bila kujijua
 
Imekuwa ni jambo la kawaida kutoka habari za ubadhirifu kwa viongozi wa Kiafrika.

Kila kiongozi anapotolewa madarakani kwa nguvu ya umma au mapiduzi ya kijeshi au kushindwa kwenye uchaguzi halali katika ballot boxa basi siri hufichuka jinsi gani viongozi wetu walivyokuwa malimbukeni wa kujikusanyia mali binafsi.

Sijui wana hofu kuwa pension haita watosheleza? Ni viongozi hao hao huwapigia wananchi mbiu ya kuongeza juhudi ya kazi ili nchi iweze kujitegemea na huku wakiranda duniani kutafuta usaidzi wa kimaendeleo.

Lakini la Kushangaza ,kila kukicha nchi zao zina didimia kwenye dimbwi la umasikini na ugumu wa maisha. Imekuwa hivyo kwa nchi zote za Afrika, hata kule Afrika ya Kusini hali ni mbaya zaidi,tena la kushangaza wale waliojiita wakombozi ndo hao hasa wanaoponda mali za nchi ,huku wakiwaachia jamii ya Kiafrika ikiogelea kwenye umasikini kila uchao.

Jacob Zuma ni wa mfano huo. Ama kule Zimbabwe Ndo siri imeibuka hivi karibuni ,kumbe Mugabe alikuwa na Cash isiyopungua $10 Milioni, Mashamba makubwa na majumba mbali mbali ya kifahari. Wakati yeye kawanyanganya Wazungu mashamba yao na kuwagawia wazalendo ekari 3 kila kaya ili wajisaidie.

Kumbe yeye ndo kawa Mzungu kwa kujimilikisha maelfu ya ekari. Hatimaye nchi yake imekumbwa na upungufu mkubwa wa chakula na uchumi kufa kabisa.

Ninachojifunza hapa, hawa viongozi wanatawala viumbe wajinga? Basi vipi wale wanao walinda(Jeshi) na kufanya uhuni huu nao hawana hisia? Basi hata wale marafiki basi wa nchi jiraniu hawawezi kuwaasa mienedo yao hii? Wazungu nao pia huwa wanayajua haya ,Mbona na o Huufyata Kimyaa hadi pale wanapotolewa madarakani? Kulikoni? au na wao wazungu hufaidika kwenye wizi huu?

Hebu chungulieni hapa habari ya Mugabe, Robert Mugabe died with $10m in cash and several houses, but left no will

The first official list of assets to be made public says the late Zimbabwean dictator left behind $10 million - AP
The wealth of Zimbabwe's former longtime president Robert Mugabe was long a mystery. Now the first official list of assets to be made public says he left behind $10 million and several houses when he died in September.

Some in Zimbabwe view that estate as far too modest for Mugabe, who ruled for 37 years and was accused by critics of accumulating vast riches and presiding over grand corruption.

The report by the state-run Herald newspaper on Tuesday does not mention any overseas assets, though it is thought that Mugabe had properties in neighboring South Africa and in Asia.

The report says there appears to be no will, though lawyers are still looking for one. The report cites the lawyers as saying the law stipulates that Mugabe's wife, Grace, and children will inherit the property in that case.

Mugabe also left behind a farm, 10 cars and 11 hectares (27 acres) of land that included an orchard at his rural home where he was buried. His daughter, Bona, registered the estate on behalf of the family, the report said.
Kule Sudani bado habari hazijatoka, lakini kule Kongo mnajuwa Mabutu Sese Seko alivyoikausha nchi. Hapa Zanzibar yasemekana,Waziri fulani wa fedha zama za Karume Mzee aliweka pesa nyingi nje, kule India na alipokufa Serikali ilizidai zile fedha,lakini serikali ya india ilikataa kuzitoa kesh,bali iliiwalazimisha wanunue bidhaa, ndio ukaona magari ya aina ya Tata hadi miaka ya karibuni na Vespa zilikuwa zinaletewa, na serikali ya Zanzibar ilianzisha shirika la kuuza magari na mengine yalitumika kama magari ya umma.Hii ikiwa kama ni sehemu ya fidia ya pesa Zile zilizoibwa .






Afrika na umasikini wa kudumu,viongozi kukwapua ,nani wa kulaumiwa?

Nawakilisha
Unashangaa mtawala wa aina hii, anampiga vita CAG, ili *azitafune" vizuri pesa za wanyonge walipa kodi wa nchi yake........

Mwisho wa siku mambo yanakuwa hadharani, kama yaliyotokea huko Zimbabwe, ambako habari zimethibitisha kuwa kumbe amejilimbikizia mapesa kibao, dola za kimarekani zaidi ya milioni 10
 
Mku swali lako bado ni ngojera. Hakuna mwenye jibu kwa sasa. Unajua hawa viongozi wanapokuja kwetu kama wananchi, wanakuja na ahadi nzuri sana lakini sasa moyo wa mwanadamu huwezi kuusoma kwa ndani yeye personaly anayo ajenda gani moyoni mwake. Mfano kule South Africa watu wengi walikuwa wamefikia hatua ya kutaka kuingia mitaani kuandamana sababu tu Mh.Zumma anataka kunyimwa kuchukua uongozi wa nchi. Alivyoingia, kila mtu akaona wamepata mtu safi alichowafanya, walichoka hawana hamu nae mpaka hakutoka vuzuri.
Hivyohivyo, Mze Mugabe tazama vyote hivyo alivyojiwekea wakati anao uhakika kwamba akimaliza urais atahudumiwa miaka yote. Nashindwa kujua wasiwasi wa maisha kwa viongozi wetu unatoka wapi?
Nadhani wakulaumiwa ni watu walioko karibu na watawala hawa huku wakisikia kilio cha wananchi lakini hawawambii mkubwa.
 
Anayepashwa2 kulaumiwa ni Wananchi wenyewe,kwani kama wanaona kiongozi wao hafai wanaweza kumuondoa,mbona tumewaona akina Omary Bashiri wa Sudani,pamoja na kuwa na Mapembe,wananchi waliposema basi ,walimuondoa haraka japo walichelewa sana na sasa anakula matunda yake.
 
Anayepashwa2 kulaumiwa ni Wananchi wenyewe,kwani kama wanaona kiongozi wao hafai wanaweza kumuondoa,mbona tumewaona akina Omary Bashiri wa Sudani,pamoja na kuwa na Mapembe,wananchi waliposema basi ,walimuondoa haraka japo walichelewa sana na sasa anakula matunda yake.
Ujinga uoga umasikini ni silaha watumiazo watawala kubaki madarakani,thus dunia nzima huwezi kuta dikteta yeyeto akileta maendeleo ya watu bali vitu tumeona Ethiopia ugumu wa Maisha ulifanyizwa na mtawala ili kuwafukarisha watu ili watawaliwe kirahisi.Watawala Wa kiafrica wanaamini huwezi mtawala aliyeshiba.Wao wanaamini ukitaka kuwatawala watu wafanye kuwa masikini.
 
Katiba za nchi nyingi za kiafrika zimetoa kinga kwa rais akiwa madarakani na hata baada ya kutoka madarakani asishitakiwe.
Sasa kwanini asifanye atakavyo?!
 
Imekuwa ni jambo la kawaida kutoka habari za ubadhirifu kwa viongozi wa Kiafrika.

Kila kiongozi anapotolewa madarakani kwa nguvu ya umma au mapiduzi ya kijeshi au kushindwa kwenye uchaguzi halali katika ballot boxa basi siri hufichuka jinsi gani viongozi wetu walivyokuwa malimbukeni wa kujikusanyia mali binafsi.

Sijui wana hofu kuwa pension haita watosheleza? Ni viongozi hao hao huwapigia wananchi mbiu ya kuongeza juhudi ya kazi ili nchi iweze kujitegemea na huku wakiranda duniani kutafuta usaidzi wa kimaendeleo.

Lakini la Kushangaza ,kila kukicha nchi zao zina didimia kwenye dimbwi la umasikini na ugumu wa maisha. Imekuwa hivyo kwa nchi zote za Afrika, hata kule Afrika ya Kusini hali ni mbaya zaidi,tena la kushangaza wale waliojiita wakombozi ndo hao hasa wanaoponda mali za nchi ,huku wakiwaachia jamii ya Kiafrika ikiogelea kwenye umasikini kila uchao.

Jacob Zuma ni wa mfano huo. Ama kule Zimbabwe Ndo siri imeibuka hivi karibuni ,kumbe Mugabe alikuwa na Cash isiyopungua $10 Milioni, Mashamba makubwa na majumba mbali mbali ya kifahari. Wakati yeye kawanyanganya Wazungu mashamba yao na kuwagawia wazalendo ekari 3 kila kaya ili wajisaidie.

Kumbe yeye ndo kawa Mzungu kwa kujimilikisha maelfu ya ekari. Hatimaye nchi yake imekumbwa na upungufu mkubwa wa chakula na uchumi kufa kabisa.

Ninachojifunza hapa, hawa viongozi wanatawala viumbe wajinga? Basi vipi wale wanao walinda(Jeshi) na kufanya uhuni huu nao hawana hisia? Basi hata wale marafiki basi wa nchi jiraniu hawawezi kuwaasa mienedo yao hii? Wazungu nao pia huwa wanayajua haya ,Mbona na o Huufyata Kimyaa hadi pale wanapotolewa madarakani? Kulikoni? au na wao wazungu hufaidika kwenye wizi huu?

Hebu chungulieni hapa habari ya Mugabe, Robert Mugabe died with $10m in cash and several houses, but left no will

The first official list of assets to be made public says the late Zimbabwean dictator left behind $10 million - AP
The wealth of Zimbabwe's former longtime president Robert Mugabe was long a mystery. Now the first official list of assets to be made public says he left behind $10 million and several houses when he died in September.

Some in Zimbabwe view that estate as far too modest for Mugabe, who ruled for 37 years and was accused by critics of accumulating vast riches and presiding over grand corruption.

The report by the state-run Herald newspaper on Tuesday does not mention any overseas assets, though it is thought that Mugabe had properties in neighboring South Africa and in Asia.

The report says there appears to be no will, though lawyers are still looking for one. The report cites the lawyers as saying the law stipulates that Mugabe's wife, Grace, and children will inherit the property in that case.

Mugabe also left behind a farm, 10 cars and 11 hectares (27 acres) of land that included an orchard at his rural home where he was buried. His daughter, Bona, registered the estate on behalf of the family, the report said.

Kule Sudani bado habari hazijatoka, lakini kule Kongo mnajuwa Mabutu Sese Seko alivyoikausha nchi. Hapa Zanzibar yasemekana,Waziri fulani wa fedha zama za Karume Mzee aliweka pesa nyingi nje, kule India na alipokufa Serikali ilizidai zile fedha,lakini serikali ya india ilikataa kuzitoa kesh,bali iliiwalazimisha wanunue bidhaa, ndio ukaona magari ya aina ya Tata hadi miaka ya karibuni na Vespa zilikuwa zinaletewa, na serikali ya Zanzibar ilianzisha shirika la kuuza magari na mengine yalitumika kama magari ya umma.Hii ikiwa kama ni sehemu ya fidia ya pesa Zile zilizoibwa .

Afrika na umasikini wa kudumu,viongozi kukwapua ,nani wa kulaumiwa?

Nawakilisha
Barbarosa atakwambia demokrasia ni neno pana sana!..
 
1. Waliopitisha Katiba isiyo na vifungu vya kuwafunga viongozi wa aina hiyo
2. Kwa Tanzania walioua miiko ya viongozi ( Azimio la Arusha) na pia
3. Wananchi wenyewe kwanini hawataki kupaza sauti zao kukemea.
1.katiba iliyopo haikuandikwa na Wananchi
2.Azimio la Arusha ni la CCM ,na waliliondoa kwa maslahi yao,kwani wao ndo hao Viongozi mamluki wa Kiafrika.
3.Nani atawaongoza kupaza sauti na kufanya huo ukemeaji,Kuna majeshi na silaha nzito Mitaani zinawangoja.na wapinzni wakisema Hutiwa ndani kwa kuambia ni wachochezi.
 
Barbarosa atakwambia demokrasia ni neno pana sana!..
Yawezekana demokrasia ikawa suluhisho?
Mimi nadhani hata Nyerere wakati wa chama kimoja alikuwa anadai kuwa nchi hii ni ya kidemokrasia,na ule uchaguzi wake wa NDIO na HAPANA aliuita Demokrasi.
Lakini demokrasi iliposhamiri ndani ya CCm miaka ile ya Jumbe, Alimlazimisha ajiuzulu,
Na wakati ule wa Maalim Seif , Alifukuzwa chama kwa kuwa Mbogo ndani ya CCm kwa kudai haki za Zanzibar, yeye na wenzake 6.
Hivi munaonaje.Hili la Katiba ya wannchi?Si Iiyoundwa na CCM pekeyao ambayo tunayo hivi sasa bila ya kuridhiwa na wengi.
 
Back
Top Bottom