SASA UDr. wa kikwete ni wa wapi? Honoraria Doctorate hazitakiwi kumtambulisha mtu ..except Academic na proffesional .
Sasa huyu mkwere anapenda sana kujitambulisha na kutajwa na vyombo vya habari eti Dr.
Nani anajua kama Obama ni Prof.Dr na amefundisha Harvard ...
Hata Balali alikua Dr.
kichwani huyu sidhani kama ni smart
Sasa huyu mkwere anapenda sana kujitambulisha na kutajwa na vyombo vya habari eti Dr.
Nani anajua kama Obama ni Prof.Dr na amefundisha Harvard ...
Hata Balali alikua Dr.
kichwani huyu sidhani kama ni smart