UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,507
- 7,704
Yani hawana hata kiwanja tu, maskini!Nyumba kwa hisani ya mwanachama
Yani hawana hata kiwanja tu, maskini!Nyumba kwa hisani ya mwanachama
🤣🤣🤣.............ni kama kilabu cha tembo la mnazi. Pembeni pale naona mnazi kwa hiyo inawezekana wagema wako karibu
Ndivyo walivyo....Yani hawana hata kiwanja tu, maskini!
😲😲Kila siku watu wanaambiwa usitembee na mtu unafanya nae kazi nae kazi ofisi moja hawasikii Mboe hawa wadada karibia wote kawabandua hawezi kufanya chochote.
Fukuza mamluki hayo. La sivyo, chadema itakufa kesho. Nakuja na kadi na kibiriti.
Mzee wa keyboard bado huoni you are fighting a lost battle?
Nchi hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za walipa kodi zinatumika kumpa mbowe kuwanunua wabunge wa kike badala ya maendeleo
Bonge la wazo. Nyumbu fikisheni wazo kwa Mwamba.Tayari nina popcorns zangu hapa nasubiria kesho saa tano asubuhi kwa episode mpya ya ufipa 😂...
CHADEMA wanaweza pia anzisha reality show watapata pesa nzuri maana wapo vizuri kwa maigizo.
Quisling?Watatoa tangazo rasmi la kumfukuza Tundu Antipas Mughwai Lisu
Dah! Kumbe ndio ufipa hapa,mbona ofis kama vyumba vya madarasa ya chekecheaKesho ufipa
View attachment 1634179
Leo hukuvuta bangi na konyagi?Pesa nyingi hutumika kupambana na hujuma kesi za kubambikiwa uonevu wa CCM mda mwingi hutumika kuokoa chama lakini endapo mbowe kachukua pesa kauza wabunge huko Bungeni ajue chadema ndiyo bye bye hakuna mwenye Akili timamu atasalia chadema
hujui kitu
Tuambie na ya kusifu na kumuabudu magufuli
Usione Aibu kusema hapo ndipo CCM hukoseshwa usingizi mpaka kuunda ushetani wa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani na sasa hapo hapo pamewapa gharama kubwa kuwanunua wabunge wa kike kwa hofu ya wahisani wafadhili kuwawekea vikwazo, hiyo Ofisi ni ndogo lakini CCM wanaiogopa mpaka kuwafanyia kila aina za Visa,
Dah! afadhali.
mara watulie kwanza wajipange...mara wachumia tumbo. sasa tuchukue kipi. ukiwa unaandika pumba usiandike risala ndefu unatulia mudaMngetulia kwanza mkajipanga, huku kukurupuka ili mradi kushindana na jamii ya mitandaoni ndo kutazidi kuwatoa relini. Jana mzee wa Miga katoa tamko bila kuwasiliana na CHADEMA kujua kinachojiri. Leo wanamama wameapishwa huku kiongozi wao akimtaja Mwenyekiti Mbowe. Kesho Makene au Mnyika atakurupuka kuongea, keshokutwa atakuja Mbowe kuwapongeza wanamama walioapishwa leo. Wanachama mtabaki kila mtu ananena kwa lugha yake.. Yote kwa yote mnaowaamini wanasiasa endeleeni, Ila hatutachoka kuwaambia sio Lissu,Mbowe, Mnyika wala nani wote wachumia matumbo tu.