Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,369
- 217,431
Kesho Jumatano, Novemba 25, 2020, CHADEMA kupitia uongozi wa juu wa Chama, kitazungumza na Umma wa Watanzania kupitia waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari, katika mkutano utakaofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Chama, kuanzia saa 5 asubuhi. Asanteni.
Wote Mnakaribishwa.
Wote Mnakaribishwa.