kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,096
- 15,939
Hatari kubwa!Ni kweli nyumba sio maarifa kichwani, lakini kweli hapo ndio makao makuu ya chama kinachotafuta kishika dola? Chama chenye umri wa miaka 28 na nusu? Hapo ndio zinahifadhiwa nyaraka muhimu ZA Chama? Na ile ruzuku huwa mnaifanyia nini kama office ndio hiyo????
Umaridadi hujenga imani