mwanatanu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 851
- 127
Source?
Kama ni kweli hakuna haja ya kuficha
.
Hawa kwanza ni kuwataja, pili,ni kukamatwa na kuchukuliwa hatua
Mbona hata mkuu wa kaya mwaka 2005 alisema ana orodha yote ya watu wanaohusika na bishara hii haramu ,lakini mpaka leo hatujaona wala hawo watu kutajwa.
siasa za bong bana