Nawashangaa sana viongozi !! Maaskofu na Masheikh...
Wanataka amani gani wakati rasilimali za watanzania zinaibwa kweupe?
Kwani nini hawa viongozi wa dini hawakemei maovu ya serikali??
Kwanza Tanzania hakuna amani, kuna utulivu.
Amani gani mtoto amerudishwa ada shule, mlo mmoja, nyumba za tembe/
Vibaka, wezi,machangudoa na malaya wameongezeka.
Jamani tuwaambia hawa viongozi wa dini
Wanataka amani gani wakati rasilimali za watanzania zinaibwa kweupe?
Kwani nini hawa viongozi wa dini hawakemei maovu ya serikali??
Kwanza Tanzania hakuna amani, kuna utulivu.
Amani gani mtoto amerudishwa ada shule, mlo mmoja, nyumba za tembe/
Vibaka, wezi,machangudoa na malaya wameongezeka.
Jamani tuwaambia hawa viongozi wa dini