NAMKWAKWA
Member
- May 16, 2013
- 43
- 38
Kile kinachoonekana kuchoshwa na utawala mbovu wa chama cha mapinduzi,viongozi wa kidini mkoani mtwara wamehoji kwa nini jeshi la wananchi linapita mitaani na kupiga watu pasipo kosa lolote,alipoulizwa mkuu wa kambi ya Naliendele Mtwara aliwajibu viongozi hao kuwa hana taarifa ya matukio ya wanajeshi kupiga raia.
Ila matukio ya Raia kupigwa yameripotiwa katika manispaa ya Mtwara Mikindani na wilaya ya Newala.Vyanzo vya pembeni vinadai wanajeshi wamepewa order ya kupiga raia na Mkuu wa mkoa Bwana Simbakalia.
Ila matukio ya Raia kupigwa yameripotiwa katika manispaa ya Mtwara Mikindani na wilaya ya Newala.Vyanzo vya pembeni vinadai wanajeshi wamepewa order ya kupiga raia na Mkuu wa mkoa Bwana Simbakalia.