Viongozi wa Dini wa nchi hii laana ya Mungu haitawaacha milele. Mkatubu

Na hawa ndo hawatapata laana?
Screenshot_20201104-072503_Facebook.jpeg
 
Yaani umeziba kwa nta masikio kiasi cha kutosikia matamko mbalimbali ya viongozi wa dini waadilifu uchaguzi mkuu wa mwaka huu?

Au ulitaka matamko yao yalandane na matakwa yako, maoni yako au yenye kuunga mkono chama na wagombea wako unaowaunga mkono, ndiyo ukubali kuwa yametolewa?. Kama ungekuwa na masikio yanayosikia hata kauli zinazokinzana na mapenzi na matakwa yako binafsi, usingepost hayo!

Kumbuka tangu kuanza kwa siasa vya vyama vingi nchini, wapinzania wamekuwa wakishindwa katika chaguzi mbalimbali, na walikua wakikataa kuyatambua matokeo ya chaguzi hizo yaliyokuwa yanatangazwa na Tume za Uchaguzi kwa vioja vya kuibiwa kura, chaguzi kutokuwa huru na za haki ama visingizio vingine kama kukataliwa kwa mawakala wao kusimamia chaguzi... daima mapambio ni visingizio ni vile vile miaka yote ya uchaguzi!

Mpya zaidi ya mwaka mwaka huu ni pale walipodai kukamata gari lenye makasha ya karatasi za kupigia kura kule Kawe!

Nikimnukuu Msemaji wa CCM Hamphrey Polepole alipozungumzia kuhusu kioja hicho, alisema: "Wapinzani walidai kukamata makasha ya kura bandia kwenye gari. Cha kushangaza wapinzani hao badala ya kuzikabidhi kwa Mamlaka za kisheria kama ushahidi na kidhibiti, wakazichoma moto na mtuhumiwa walitemkamata walimwachia atokomee gizani. Toka lini ushahidi muhimu kama huo wauteketeze? Hiyo inadhihirisha kuwa ni wenyewe waliochapisha kura hizo bandia, na ni wenyewe waliozileta eneo hilo, na baadye kuzichoma moto ili kuficha ushahidi, wakijua kama wangezikabidhi kwenye mamlaka za kisheria uchunguzi wa kina ungewaumbua". UCHAGUZI UMESHAPITA TUACHE MAISHA MENGINE YAENDELEE!
 
Kwa
Amani ya bwana iwe kwenuu wandugu!

Nimesikitishwa sana na viongozi wa madhehebu mbali mbali nchini kukaa kimya bila kutamka chochote juu ya hali ya uchaguzi ilivyo mpaka sasa.

Viongozi hawa hawakuona kura bandia zilizokamatwa, viongozi hawa hawakuona mawakala wa vyama mbali mbali walivyozuiwa kuingia kwenye vituo vya kupigia kura, viongozi wa dini Tanzania hawakuskia kuhusu vifo vya watu violitokea huko Zanzibar na huku bara, Viongozi hawa wa dini hawaoni wala hawasikii jinsi viongozi wa upinzani wanavyokamatwa na vyombo vya dola.

Ninyi TEC, BAKWATA, Shura ya Maimamu, Baraza la Maulamaa na taasisi ziingine za kidini mkiukalia kimya ukweli huu mkajifanya hamuoni,Laana ya Mwenyezi Mungu haitawaacha hakika. Nafsi zenu ziwasute kwa kujifanya hamuoni ukweli huu. Mkumbuke kila mahali mnapkanyaga Malaika wa bwana wanawatazameni. Huifanya kazi yenu kama mnavyoutangazia umma wa Watanzania na dunia kua ninyi ni watumishi wa Mungu. Huu ni kama uongo makatibu makosa yenu.

Ninafedheheshwa sana na ukimya wenu. Hivi kama Yesu angekaa kimya kwa kumuogopa Herode damu yake ingemwagika kwa ajili ya wanakondoo? Daudi angeogopa nguvu ya Goliathi angeweza kufanya chochote? Musa angemuogopa Faraoh Leo hii wana wa Israel wangekuwa na taifa lao teule? Endeleeni kufanya biashara zenu kusaka fursa ila mkono wa Mungu na fimbo yake hamtavikwepa kamwe.
Kwani hujamsikia mwamakula na yule kwa huko ngara?
Au wewe ulitaka umsikie nani?
 
Ya kaisari wamemwachia kaisari!!! Kazi yao ni kutunza na kuhudumia roho za watu!! Kiongoz atakae ingilia siasa yupo nje ya kile anachokitumikia,,, hakuna cha tamko wala nini!! Wapo kuiombea Tanzania,, wapo kwa ajiri ya kuwaombea watanzania... Na sio kutoa matamko kwa watawala.

Mkihitaji msaada wa kiroho mfuate...!!

Ila kiongoz wa dini anaeingilia siasa cjui na kutoa matamko huyo ni mganga njaa tu na yeye!!!!
 
Jaribu kuvaa viatu vyao mkuu.

Lau kama wangekua hawafanyi vizuri kwenye mambo ya dini yao haswa ya kiroho ungewahukumu. Lakini mambo ya siasa yana mengi ndugu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani ya bwana iwe kwenu wandugu!

Nimesikitishwa sana na viongozi wa madhehebu mbali mbali nchini kukaa kimya bila kutamka chochote juu ya hali ya uchaguzi ilivyo mpaka sasa.

Viongozi hawa hawakuona kura bandia zilizokamatwa, viongozi hawa hawakuona mawakala wa vyama mbali mbali walivyozuiwa kuingia kwenye vituo vya kupigia kura, viongozi wa Dini Tanzania hawakuskia kuhusu vifo vya watu violitokea huko Zanzibar na huku bara, Viongozi hawa wa dini hawaoni wala hawasikii jinsi viongozi wa upinzani wanavyokamatwa na vyombo vya dola.

Ninyi TEC, BAKWATA, Shura ya Maimamu, Baraza la Maulamaa na taasisi nyingine za kidini mkiukalia kimya ukweli huu mkajifanya hamuoni,Laana ya Mwenyezi Mungu haitawaacha hakika. Nafsi zenu ziwasute kwa kujifanya hamuoni ukweli huu. Mkumbuke kila mahali mnapakanyaga Malaika wa bwana wanawatazama. Huifanya kazi yenu kama mnavyoutangazia umma wa Watanzania na Dunia kua ninyi ni watumishi wa Mungu. Huu kama ni uongo mkatubu makosa yenu.

Ninafedheheshwa sana na ukimya wenu. Hivi kama Yesu angekaa kimya kwa kumuogopa Herode damu yake ingemwagika kwa ajili ya wanakondoo? Daudi angeogopa nguvu ya Goliathi angeweza kufanya chochote? Musa angemuogopa Faraoh Leo hii wana wa Israel wangekuwa na taifa lao teule? Endeleeni kufanya biashara zenu kusaka fursa ila mkono wa Mungu na fimbo yake hamtavikwepa kamwe.
Viongozi hao ni pamoja na Mh Mbunge wa Kawe......😂😂😂 unategemea nini...Songombingo lote lililotokea Kawe anaona ni sawa na anajiita mtumishi wa Mungu na ni Mbunge mteule...inakatisha tamaa na hii imesababisha hadi kufikiria sana kama kweli haya makanisa yako kwa ajili ya Mungu wa mbinguni au ni biashara tu za eatu.

Siamini kama Mh Mbunge wa Kawe atakuja siku moja asimame kwenye Madhabahu na kuhubiria HAKI na AMANI....natamani niwepo nimuulize ni Haki ipi na Amani ipi....

Naomba Mungu wa Mbinguni anisamehe maana huwa naogopa sana kuwasema wapakwa mafuta wa Bwana lakini kwa hapa...baba askofu ni BIG NO hapa umepoteza credibility ya kuhubiri Haki na Amani
 
Yaani umeziba kwa nta masikio kiasi cha kutosikia matamko mbalimbali ya viongozi wa dini waadilifu uchaguzi mkuu wa mwaka huu?

Au ulitaka matamko yao yalandane na matakwa yako, maoni yako au yenye kuunga mkono chama na wagombea wako unaowaunga mkono, ndiyo ukubali kuwa yametolewa?. Kama ungekuwa na masikio yanayosikia hata kauli zinazokinzana na mapenzi na matakwa yako binafsi, usingepost hayo!

Kumbuka tangu kuanza kwa siasa vya vyama vingi nchini, wapinzania wamekuwa wakishindwa katika chaguzi mbalimbali, na walikua wakikataa kuyatambua matokeo ya chaguzi hizo yaliyokuwa yanatangazwa na Tume za Uchaguzi kwa vioja vya kuibiwa kura, chaguzi kutokuwa huru na za haki ama visingizio vingine kama kukataliwa kwa mawakala wao kusimamia chaguzi... daima mapambio ni visingizio ni vile vile miaka yote ya uchaguzi!

Mpya zaidi ya mwaka mwaka huu ni pale walipodai kukamata gari lenye makasha ya karatasi za kupigia kura kule Kawe!

Nikimnukuu Msemaji wa CCM Hamphrey Polepole alipozungumzia kuhusu kioja hicho, alisema: "Wapinzani walidai kukamata makasha ya kura bandia kwenye gari. Cha kushangaza wapinzani hao badala ya kuzikabidhi kwa Mamlaka za kisheria kama ushahidi na kidhibiti, wakazichoma moto na mtuhumiwa walitemkamata walimwachia atokomee gizani. Toka lini ushahidi muhimu kama huo wauteketeze? Hiyo inadhihirisha kuwa ni wenyewe waliochapisha kura hizo bandia, na ni wenyewe waliozileta eneo hilo, na baadye kuzichoma moto ili kuficha ushahidi, wakijua kama wangezikabidhi kwenye mamlaka za kisheria uchunguzi wa kina ungewaumbua". UCHAGUZI UMESHAPITA TUACHE MAISHA MENGINE YAENDELEE!
"Wapinzani walidai kukamata makasha ya kura bandia kwenye gari. Cha kushangaza wapinzani hao badala ya kuzikabidhi kwa Mamlaka za kisheria kama ushahidi na kidhibiti, wakazichoma moto na mtuhumiwa walitemkamata walimwachia atokomee gizani. Toka lini ushahidi muhimu kama huo wauteketeze? Hiyo inadhihirisha kuwa ni wenyewe waliochapisha kura hizo bandia, na ni wenyewe waliozileta eneo hilo, na baadye kuzichoma moto ili kuficha ushahidi, wakijua kama wangezikabidhi kwenye mamlaka za kisheria uchunguzi wa kina ungewaumbua".
 
Vi
Amani ya bwana iwe kwenu wandugu!

Nimesikitishwa sana na viongozi wa madhehebu mbali mbali nchini kukaa kimya bila kutamka chochote juu ya hali ya uchaguzi ilivyo mpaka sasa.

Viongozi hawa hawakuona kura bandia zilizokamatwa, viongozi hawa hawakuona mawakala wa vyama mbali mbali walivyozuiwa kuingia kwenye vituo vya kupigia kura, viongozi wa Dini Tanzania hawakuskia kuhusu vifo vya watu violitokea huko Zanzibar na huku bara, Viongozi hawa wa dini hawaoni wala hawasikii jinsi viongozi wa upinzani wanavyokamatwa na vyombo vya dola.

Ninyi TEC, BAKWATA, Shura ya Maimamu, Baraza la Maulamaa na taasisi nyingine za kidini mkiukalia kimya ukweli huu mkajifanya hamuoni,Laana ya Mwenyezi Mungu haitawaacha hakika. Nafsi zenu ziwasute kwa kujifanya hamuoni ukweli huu. Mkumbuke kila mahali mnapakanyaga Malaika wa bwana wanawatazama. Huifanya kazi yenu kama mnavyoutangazia umma wa Watanzania na Dunia kua ninyi ni watumishi wa Mungu. Huu kama ni uongo mkatubu makosa yenu.

Ninafedheheshwa sana na ukimya wenu. Hivi kama Yesu angekaa kimya kwa kumuogopa Herode damu yake ingemwagika kwa ajili ya wanakondoo? Daudi angeogopa nguvu ya Goliathi angeweza kufanya chochote? Musa angemuogopa Faraoh Leo hii wana wa Israel wangekuwa na taifa lao teule? Endeleeni kufanya biashara zenu kusaka fursa ila mkono wa Mungu na fimbo yake hamtavikwepa kamwe.
Viongozi wa dini unaosema ndio walio omba corona ikatoweka lakini wale wa kwenu wanaopanda kwenye majukwaa wanapinga hata maombi wameshindwa vibaya na kuonekana hawana imani ya kutosha.
 
Wacahw
Exactly Tanzania hatuna viongozi wa dini tuna wachawi tu na wanafiki walamba viatu vya wanasiasa wauaji ,watekaji ,wafungaji , waonezi, dhulumati , mafisadi , majiziView attachment 1619197
Wachawi ni bagonza, mwamakula, katimba, na ponda. Na munga, hao ndo watumishi wasiokuwa na utimilifu wa imani,
Hao ni sawa na wahuni tu wa kitaa na wenye njaa zao na wasiopend kufanya kazi ila wanataka kushiba.
Mungu hapendi hayo.
 
Vi
Viongozi wa dini unaosema ndio walio omba corona ikatoweka lakini wale wa kwenu wanaopanda kwenye majukwaa wanapinga hata maombi wameshindwa vibaya na kuonekana hawana imani ya kutosha.
Chukua taadhari endelea kuwaamini wanasiasa
 
Amani ya bwana iwe kwenu wandugu!

Nimesikitishwa sana na viongozi wa madhehebu mbali mbali nchini kukaa kimya bila kutamka chochote juu ya hali ya uchaguzi ilivyo mpaka sasa.

Viongozi hawa hawakuona kura bandia zilizokamatwa, viongozi hawa hawakuona mawakala wa vyama mbali mbali walivyozuiwa kuingia kwenye vituo vya kupigia kura, viongozi wa Dini Tanzania hawakuskia kuhusu vifo vya watu violitokea huko Zanzibar na huku bara, Viongozi hawa wa dini hawaoni wala hawasikii jinsi viongozi wa upinzani wanavyokamatwa na vyombo vya dola.

Ninyi TEC, BAKWATA, Shura ya Maimamu, Baraza la Maulamaa na taasisi nyingine za kidini mkiukalia kimya ukweli huu mkajifanya hamuoni,Laana ya Mwenyezi Mungu haitawaacha hakika. Nafsi zenu ziwasute kwa kujifanya hamuoni ukweli huu. Mkumbuke kila mahali mnapakanyaga Malaika wa bwana wanawatazama. Huifanya kazi yenu kama mnavyoutangazia umma wa Watanzania na Dunia kua ninyi ni watumishi wa Mungu. Huu kama ni uongo mkatubu makosa yenu.

Ninafedheheshwa sana na ukimya wenu. Hivi kama Yesu angekaa kimya kwa kumuogopa Herode damu yake ingemwagika kwa ajili ya wanakondoo? Daudi angeogopa nguvu ya Goliathi angeweza kufanya chochote? Musa angemuogopa Faraoh Leo hii wana wa Israel wangekuwa na taifa lao teule? Endeleeni kufanya biashara zenu kusaka fursa ila mkono wa Mungu na fimbo yake hamtavikwepa kamwe.
Umemaliza yote
IMG_20201018_085131.jpeg
 
Wacahw
Wachawi ni bagonza, mwamakula, katimba, na ponda. Na munga, hao ndo watumishi wasiokuwa na utimilifu wa imani,
Hao ni sawa na wahuni tu wa kitaa na wenye njaa zao na wasiopend kufanya kazi ila wanataka kushiba.
Mungu hapendi hayo.
Hawa si sehemu ya wanafiki
 
Back
Top Bottom