mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari wadau,
Kwa jinsi Mambo yanavyo endelea Tanzania. Ni wazi watu wengi na Taasisi nyingi zilikua zinasubiri nan waanzishe mada ili wao wasapoti.
Baada ya Wabunge wa TANZANIA kuweka wazi mapenz yao juu ya kutamani kuona Rais John Pombe Magufuli anaongezewa muda wa kusalia Madarakan. Watanzania wote wameonyesha kukubalia na hoja hiyo, tena bila kupigwa
Huu ni muda wetu Watanzania wa kutumia Uhuru wetu wa kikatiba kukamilisha yale tunayoyataka kwani Tanzania ni sisi pekee ndio wenye mamlaka ya kuibadilisha Katiba.
Pia napenda niwakumbushe Chadema ukiona unamlaum kila mtu mwenye maisha yako jua wewe ndio tatizo.
CHADEMA leo wanalaum serikali; wanalaumu wananchi; wanalaum Jeshi la Police; wanalaum Jeshi la Wananchi; wanalaumu Takukuru; wanalaum kila sekta Tanzania.
Pia wamefika mbali na kuanza kulaum mpaka viongozi wa dini kuw wamewatenga pia wanajua wanafanya yote hayo na wanafaham kila mtu TANZANIA Hana habari ndiomana kila siku wanatoa lawama zao
Mara watanzania wamekaa kimia wakat katiba inataka kuchezewa wamesahau kua hata wao kwa mwenyekit wao mpenzi walipo kua wanaivunja katiba walikaa kimia na kusema kua mwamba tuvushe tumekubal na hakuna Alie walaum kwa wao kufanya kile kitu ambacho kimepelekea matatizo ya mwenyekit kujifanyia anacho taka Mpaka kufikia hatua ya kuanguka kisa kule..
Watanzania tumeamu tumpe NCH Magufuli atuvushe
Kwa jinsi Mambo yanavyo endelea Tanzania. Ni wazi watu wengi na Taasisi nyingi zilikua zinasubiri nan waanzishe mada ili wao wasapoti.
Baada ya Wabunge wa TANZANIA kuweka wazi mapenz yao juu ya kutamani kuona Rais John Pombe Magufuli anaongezewa muda wa kusalia Madarakan. Watanzania wote wameonyesha kukubalia na hoja hiyo, tena bila kupigwa
Huu ni muda wetu Watanzania wa kutumia Uhuru wetu wa kikatiba kukamilisha yale tunayoyataka kwani Tanzania ni sisi pekee ndio wenye mamlaka ya kuibadilisha Katiba.
Pia napenda niwakumbushe Chadema ukiona unamlaum kila mtu mwenye maisha yako jua wewe ndio tatizo.
CHADEMA leo wanalaum serikali; wanalaumu wananchi; wanalaum Jeshi la Police; wanalaum Jeshi la Wananchi; wanalaumu Takukuru; wanalaum kila sekta Tanzania.
Pia wamefika mbali na kuanza kulaum mpaka viongozi wa dini kuw wamewatenga pia wanajua wanafanya yote hayo na wanafaham kila mtu TANZANIA Hana habari ndiomana kila siku wanatoa lawama zao
Mara watanzania wamekaa kimia wakat katiba inataka kuchezewa wamesahau kua hata wao kwa mwenyekit wao mpenzi walipo kua wanaivunja katiba walikaa kimia na kusema kua mwamba tuvushe tumekubal na hakuna Alie walaum kwa wao kufanya kile kitu ambacho kimepelekea matatizo ya mwenyekit kujifanyia anacho taka Mpaka kufikia hatua ya kuanguka kisa kule..
Watanzania tumeamu tumpe NCH Magufuli atuvushe