Viongozi wa dini na fursa kuwashauri viongozi wa kisiasa juu ya mwenendo wa taifa letu

VAPS

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
5,610
13,160
Wazee na viongozi wa dini Wana fursa kubwa kutoa ushauri.Tunajua fika wazee na viongozi wa dini wengi wa taifa hili ni waoga na wanafiki. Niwasihi Wenye ujasiri wachache wasisite kusemea ukweli kwa afya na amani ya taifa letu.
Asubuhi ya leo ibaada za Jumapili zinafanyika kwa ndugu zetu Madhehebu ya Kikristu.Taifa Lina Mambo makubwa 2
Chanjo korona elimu sahihi inahitajika na kuwapa moyo na Imani Watanzania kuzingatia ushauri wa Wataalamu wa afya.
Pili ni suala la kuitaka serikali kufuta mashitaka ya kubambika ya ugaidi kwa kiongozi wa chama kikuu na kikubwa Cha upinzani Freeman Mbowe, ni aibu na fedheha kwa umoja na ustawi wa taifa letu.
Niwatakie Jumapili njema yenye baraka.
 
Wazee na viongozi wa dini Wana fursa kubwa kutoa ushauri.Tunajua fika wazee na viongozi wa dini wengi wa taifa hili ni waoga na wanafiki. Niwasihi Wenye ujasiri wachache wasisite kusemea ukweli kwa afya na amani ya taifa letu.
Asubuhi ya leo ibaada za Jumapili zinafanyika kwa ndugu zetu Madhehebu ya Kikristu.Taifa Lina Mambo makubwa 2
Chanjo korona elimu sahihi inahitajika na kuwapa moyo na Imani Watanzania kuzingatia ushauri wa Wataalamu wa afya.
Pili ni suala la kuitaka serikali kufuta mashitaka ya kubambika ya ugaidi kwa kiongozi wa chama kikuu na kikubwa Cha upinzani Freeman Mbowe, ni aibu na fedheha kwa umoja na ustawi wa taifa letu.
Niwatakie Jumapili njema yenye baraka.
Nakupongeza sana kutoka Moyoni
Hakika Inashangaza Sana kuona Tanzania Ina Hazina ya MARAIS WASTAAFU,MAWAZIRI WAKUU MAJAJI NA MAASKOFU na Wazee wenye HEKIMA na BUSARA Wamekaa KIMYA
Watu Wanaonewa Wanaua,
Wanafungwa Wanabambikiziwa KESI NZITO lakini Wapo KIMYA kama Vile Wanaona Sawa.Hebu Viongozi wetu Wa Kisiasa,Kiroho Na Watalaamu Jitokezeni Kuziondoa SIASA za CHUKI kwa TAIFA LETU
Mbona HAYATI NELSON MANDELA ALIWEZA?
Kumbuka Siku Mkitanguliwa Mbele ya HAKI mkiulizwa na MUNGU
JE MLIWAHI KUWA WAPATANISHI? Mtamjibu NINI?
 
Nawalipua sana hawa nadhani kwa Watanzania tumaojitambua ni wakati muafaka sasa kuanza kuacha kwenda makanisani na misikitini kutokana na UKIYA WA KUTISHA wa viongozi wa dini ukiondoa wachace tu Askofu Mwamakula, Bagonza, Emugiwizi na Sheikh Ponda.
Wazee na viongozi wa dini Wana fursa kubwa kutoa ushauri.Tunajua fika wazee na viongozi wa dini wengi wa taifa hili ni waoga na wanafiki. Niwasihi Wenye ujasiri wachache wasisite kusemea ukweli kwa afya na amani ya taifa letu.
Asubuhi ya leo ibaada za Jumapili zinafanyika kwa ndugu zetu Madhehebu ya Kikristu.Taifa Lina Mambo makubwa 2
Chanjo korona elimu sahihi inahitajika na kuwapa moyo na Imani Watanzania kuzingatia ushauri wa Wataalamu wa afya.
Pili ni suala la kuitaka serikali kufuta mashitaka ya kubambika ya ugaidi kwa kiongozi wa chama kikuu na kikubwa Cha upinzani Freeman Mbowe, ni aibu na fedheha kwa umoja na ustawi wa taifa letu.
Niwatakie Jumapili njema yenye baraka.
 
Nawalipua sana hawa nadhani kwa Watanzania tumaojitambua ni wakati muafaka sasa kuanza kuacha kwenda makanisani na misikitini kutokana na UKIYA WA KUTISHA wa viongozi wa dini ukiondoa wachace tu Askofu Mwamakula, Bagonza, Emugiwizi na Sheikh Ponda.
Tuwakumbushe wajibu wao wazee na viongozi wa dini.Huenda bado wanahofia kivuli cha JPM.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nawakumbusha mara kwa mara kimya chao wakati huu udhalimu na dhuluma zinazidi kushamiri waumini hawaufurahii. Kule Twitter pia wengi wamenza kuzodoa.
Tuwakumbushe wajibu wao wazee na viongozi wa dini.Huenda bado wanahofia kivuli cha JPM.
 
Back
Top Bottom