Elections 2010 Viongozi wa dini Mwanza wamgomea Membe ujumbe wake kuhusu JK

membe alimsaloti dr hansy kitine kwa tuhuma za kutunga kama ilivo ada kwa wanamtandao, la kuvunda halina ubani, kwa heri kikwete na akina membe usaniii una mwisho
 
Askofu Kulola alikubaliana na Membe na Cheche zake ameshazitema. Anataka ibada ziendelee ili waumini wake wasipige kura na mjukuu wake asikose ulaji toka kwa JK
 
Udini, udini, udini. Mwisho wake hakuna atakaye salimika. Taifa linaangamia, na mpasuko uko dhahiri sasa.
 
Huyu mende ooohh samahani membe alishani put off tangu zamani. Huwa anajifanya anaongea utumbo kwa umakini. Tena nimesikia eti nae anauwania urais wa nchi hii. Bahati nzuri Mungu ametuonesha mapema kabisa kwamba hicho ni kirusi hatuwezi kurusu kikae pale magogoni.

Hongera viongozi wa dini Jijini Mwz kwa msimamo wenu
 
Askofu Kulola alikubaliana na Membe na Cheche zake ameshazitema. Anataka ibada ziendelee ili waumini wake wasipige kura na mjukuu wake asikose ulaji toka kwa JK

Ni kweli Askofu Kulola amekubaliana nae na hivi ninpoengea mmoja wa wanae alikabidhiwa kitita cha fedha ili Kulola akubali kuchukuliwa picha za TV wamuandalie kipindi maalum, na leo ndiyo watamuandalia ili warushe TV zote.
 
swala la kikwete kuiingiza nchi kwenye udini liko wazi kabisa kwani kuna vyanzo vya uhakika kuwa amewaahidi waislamu kutoshughulika na mambo yao ki[pindi hiki mpaka apate kura za wakristo kwanza..............TUSIMCHAGUE KIKWETE MDINI KWA VITENDO KWANI ALIDIRIKI KUKUMBATIA UISLAMU KWA KUWEKA KWENYE ILANI YA CCM NA KUINADI KWA NGUVU.........HUYU NI MKOROFI NA NI HATARI KWA KTAIFA KWANI ANAWAGAWA WATZ KWA VITENDO ILA KWA MANENO DR.SLAA NDIYO MDINI NA KWA VITENDO KIKWETE MDINI HASA
 
Ni kweli Askofu Kulola amekubaliana nae na hivi ninpoengea mmoja wa wanae alikabidhiwa kitita cha fedha ili Kulola akubali kuchukuliwa picha za TV wamuandalie kipindi maalum, na leo ndiyo watamuandalia ili warushe TV zote.

Maskini mzee wa watu Kulola!!!!! Mbingu ngumu.
 
Ni kweli Askofu Kulola amekubaliana nae na hivi ninpoengea mmoja wa wanae alikabidhiwa kitita cha fedha ili Kulola akubali kuchukuliwa picha za TV wamuandalie kipindi maalum, na leo ndiyo watamuandalia ili warushe TV zote.

ni rahisi kwa ngamia kupenya ktk tundu la sindano kuliko kulola kuiona mbingu!
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza,asanteni sana viongozi wa dini mliokataa kununuliwa kwa vipande thalathini vya fedha.Mifisadi sasa ina haha kama fisi maji.Hivi kwa nini Kikwete asikubali matokeo? Rais mstaafu Kikwete elewa kuwa watanzania wanataka mabadiliko,wanataka ukombozi, wanataka maisha bora ambayo CCM imeshindwa kuwapatia kwa miaka 50 iliyopita, usituletee matatizo kwa kutaka kwako kubaki madarakani kinyume cha matakwa ya watanzania milioni 40 kwa kulinda genge la mafia wasiozidi 20.
 
Chadema na udini..udini..vurugu,mauaji,vitisho...hivi mkishinda uchaguzi huu mabadiliko mnayoyahubiri yatakuwa ya aina gani?Nguvu ya hoja iko wapi?
Mnadhani mkitumia udini ndiyo mtapata utawala?Manatupeleka wapi nyie?
 
.... Hivi kabila la Kijita MEMBE huwa inatafisiri gani?? Nimeshasahu maana ni siku nyingi nimehama huko!
 
Tatizo la Membe ni ndoto yake ya kuwa rais 2015, ndio maana huwa anatetea hata mambo ambayo hayaamini, hili ndilo lililomkosanisha na Mudhihiri Mudhihir akalimwaga Bungeni mwaka jana, hadi leo hawaongei
 
Tatizo la Membe ni ndoto yake ya kuwa rais 2015, ndio maana huwa anatetea hata mambo ambayo hayaamini, hili ndilo lililomkosanisha na Mudhihiri Mudhihir akalimwaga Bungeni mwaka jana, hadi leo hawaongei

Membe atetea serikali kwa maaskofu Send to a friend Saturday, 23 October 2010 19:07 0diggsdigg

Frederick Katulanda, Mwanza
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema CCM imegawanyika makundi mawili, moja likiwa ni lile la viongozi walioshindwa kuupata urais na lingine likiwa ni lile la Kikwete na serikali yake.

Alisema kundi lililoshindwa na Kikwete kupata urais ndilo limekuwa likisambaza ujumbe na taarifa za kumchafua Kikwete na serikali yake kuwa ameshindwa kuwashughulikia mafisadi na kuigeuza nchi hii kuwa ya kidini kwa kuteua viongozi wengi wa ngazi za juu nchini waislamu.

Membe alijikuta akieleza hayo wakati alipokuwa akijibu maswali ya viongozi wa dini na madhehebu ya kikristo kuhusu masuala mbalimbali aliyoyazungumzia kuhusu ufisadi, udini na serikali kujiunga na IOC .

Alisema kutokana na uvumi huo kuenezwa zaidi wakati huu wa kampeni ameanza ziara ya kupita mikoani nchini kuzungumza na viongozi wa dini kusafisha hali hiyo ya hewa.

Katika kikao hicho kilichofanyika Hoteli ya G and G jijini Mwanza juzi na kuhudhuriwa viongozi wa madhehebu ya kikristo zaidi ya 100, Membe alisema alikuwa na mambo manne ya kufafanua ambayo ni tuhuma za kuwepo kwa udini, ufisadi, suala la Tanzania kutaka kujiunga na OIC na pamoja na kuanzishwa ka mahakama ya Kadhi nchini.

"Wakristo wanaonekana kujitenga wakidai kuwa Kikwete kaonyesha mpasuko kwa kupendela waislamu katika serikali yake na kuwa ifikapo mwaka 2015 Tanzania itakuwa imejiunga na OIC na kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi na mengine yakidai kuwa ameshindwa kushuhgulikia ufisadi hapa nchini, mambo haya siyo kweli." alisema

Ingawa Membe alikanusha Tanzania haijafikia uamuzi wa kujiunga na OIC aliwataka viongozi hao kukubaliana na suala hilo kwa vile zipo faida nyingi ambazo nchi itapata na kutaja mojawapo kuwa jumuiya hiyo inazo fedha nyingi hivyo itawasaidia kutatua matatizo waliyonayo.

Membe alizitaza baadhi ya nchi akidai kuwa zimenufaika na OIC na kusisitiza kuwa kujiunga nayo hakuna masharti ya kuigeuza nchi kuwa ya Kiislamu bali ni kuwa na idadi ya waislamu wasiopungua asilimia 60.

Alikaririwa akidai kuwa serikali haina udini na kwamba kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi hakutaibadili nchi kuwa ya kidini na kubainisha kwamba katika utawala wa Kikwete amekuwa akipambana na ufisadi kinyume na inavyoelezwa na watu.
Kutokana na maelezo hayo ya Membe, kilifika kipindi cha viongozi hao kueleza ya kwao ambapo mchungaji mmoja alianza kuzungumza kwa kutumia msemo wa Biblia kuwa kauli anayoitoa Membe kumsemea Kikwete wakati huu wa uchaguzi ni sawa na ‘Sauti iliayo nyikani' na kutoboa kuwa Membe hakupaswa kuyaeleza yeye bali Kikwete.

"Hapa tunasikia sauti inalia nyikani, sasa hatumuoni mtu anayelia, wakristo tunataka kumsikia yeye mwenyewe na siyo kutuma mtu bali aseme yeye kwa kinywa chake hadharani kuwa Tanzania hakuna udini na nchi haitajiunga na OIC." alisema mchungaji mmoja akimueleza Membe.

Kwa upande wa mafisadi mmoja wa viongozi hao wa dini walikaririwa akimuuliza iwapo ana dhamira ya kupambana na ufisadi ni kwa nini ameweza kusimama hadharani na kuwashika mkono akiwaombea kura baadhi ya watuhumiwa, ambao serikali yake imewafikisha mahakamani huku akitolewa mfano wa nchi ya Malawi ambako waziri mmoja amefilisiwa na kukamatwa kutokana na ufisadi.

Mmoja wa viongozi hao wa dini alimtahadharisha Membe kuwa anapaswa kutambua kuwa Watanzania wa sasa siyo sawa na wale wa zamani na kwamba sasa anapaswa kuwajibu vyema wapouuliza.
Walisema iwapo anasema faida ya kujiunga OIC ni kwa ajili ya kupata fedha za kusaidia taifa na kuhoji taifa limeshindwa vipi kunifaika na raslimali zake kama madini kiasi cha kuhitaji fedha za OIC.
"Membe alisema mambo yote ambayo ameyazungumzia na kwao yamezushwa wakati huu wa uchaguzi na kubainisha kuwa wanaozusha ni kundi la waliokosa uongozi ndani ya CCM.

Hata hivyo, nje ya hoteli hiyo Membe alipotakiwa na waandishi wa habari kuzungumzia kikao chake na viongozi wa dini, alikataa na kuwakimbia ambapo alijikuta akiliacha gari lake na kuingia gari la mkuu wa mkoa wa Mwanza ambaye alimkumbusha kuwa hilo halikuwa gari lake na kurudi kuingia gari lake na kuondoka.
Naye Mwenyekiti wa Umoja wa dini na Madhehebu ya Kikristo, Charles Sekelo ambaye ni Askofu wa Kanisa la CECT, alipoulizwa kuhusuna na kikao hicho alikiri kuzungumza kwa mambo hayo na kueleza kwamba Membe alidai alikuwa akimsafisha Kikwete kutokana na kuvuma kwa mambo machafu.

"Kwa maneno yake Membe alisema madhumuni ya kikao chake nasi ilikuwa ni kusafisha juu ya mambo hayo, alidai yameuwapo mambo mengi mchafu ya kumchafua Kikwete na CCM, na kumbe alikuja kusafisha." alieleza Askofu Sekelo.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Kanisa la Anglikana katika kikao hicho, Geoffrey Salum alisema, Membe alikuwa akijaribu kuwashawishi viongozi hao kujenga imani na serikali.
"Membe hajafanikiwa kutokana na msimamo wa viongozi wa dini ulivyokuwa ndani ya ukumbi huo, kwani ameshindwa kukidhi haja ya maswali yao na diyo maana wengi wamemweleza wazi kuwa wanataka Kikwete mwenyewe akiri hakuna udini nchini," alieleza Salum.

Hata hivyo, Mchungaji David Emanuel wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, alisema katika kikao hicho wametoa dukuduku lao na kueleza wazi kuwa hawaafikiani na serikali yake.
Source: Mwananchi
 
Tatizo la Membe ni ndoto yake ya kuwa rais 2015, ndio maana huwa anatetea hata mambo ambayo hayaamini, hili ndilo lililomkosanisha na Mudhihiri Mudhihir akalimwaga Bungeni mwaka jana, hadi leo hawaongei

Membe atetea serikali kwa maaskofu Send to a friend Saturday, 23 October 2010 19:07 0diggsdigg

Frederick Katulanda, Mwanza
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema CCM imegawanyika makundi mawili, moja likiwa ni lile la viongozi walioshindwa kuupata urais na lingine likiwa ni lile la Kikwete na serikali yake.

Alisema kundi lililoshindwa na Kikwete kupata urais ndilo limekuwa likisambaza ujumbe na taarifa za kumchafua Kikwete na serikali yake kuwa ameshindwa kuwashughulikia mafisadi na kuigeuza nchi hii kuwa ya kidini kwa kuteua viongozi wengi wa ngazi za juu nchini waislamu.

Membe alijikuta akieleza hayo wakati alipokuwa akijibu maswali ya viongozi wa dini na madhehebu ya kikristo kuhusu masuala mbalimbali aliyoyazungumzia kuhusu ufisadi, udini na serikali kujiunga na IOC .

Alisema kutokana na uvumi huo kuenezwa zaidi wakati huu wa kampeni ameanza ziara ya kupita mikoani nchini kuzungumza na viongozi wa dini kusafisha hali hiyo ya hewa.

Katika kikao hicho kilichofanyika Hoteli ya G and G jijini Mwanza juzi na kuhudhuriwa viongozi wa madhehebu ya kikristo zaidi ya 100, Membe alisema alikuwa na mambo manne ya kufafanua ambayo ni tuhuma za kuwepo kwa udini, ufisadi, suala la Tanzania kutaka kujiunga na OIC na pamoja na kuanzishwa ka mahakama ya Kadhi nchini.

“Wakristo wanaonekana kujitenga wakidai kuwa Kikwete kaonyesha mpasuko kwa kupendela waislamu katika serikali yake na kuwa ifikapo mwaka 2015 Tanzania itakuwa imejiunga na OIC na kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi na mengine yakidai kuwa ameshindwa kushuhgulikia ufisadi hapa nchini, mambo haya siyo kweli.” alisema

Ingawa Membe alikanusha Tanzania haijafikia uamuzi wa kujiunga na OIC aliwataka viongozi hao kukubaliana na suala hilo kwa vile zipo faida nyingi ambazo nchi itapata na kutaja mojawapo kuwa jumuiya hiyo inazo fedha nyingi hivyo itawasaidia kutatua matatizo waliyonayo.

Membe alizitaza baadhi ya nchi akidai kuwa zimenufaika na OIC na kusisitiza kuwa kujiunga nayo hakuna masharti ya kuigeuza nchi kuwa ya Kiislamu bali ni kuwa na idadi ya waislamu wasiopungua asilimia 60.

Alikaririwa akidai kuwa serikali haina udini na kwamba kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi hakutaibadili nchi kuwa ya kidini na kubainisha kwamba katika utawala wa Kikwete amekuwa akipambana na ufisadi kinyume na inavyoelezwa na watu.
Kutokana na maelezo hayo ya Membe, kilifika kipindi cha viongozi hao kueleza ya kwao ambapo mchungaji mmoja alianza kuzungumza kwa kutumia msemo wa Biblia kuwa kauli anayoitoa Membe kumsemea Kikwete wakati huu wa uchaguzi ni sawa na ‘Sauti iliayo nyikani’ na kutoboa kuwa Membe hakupaswa kuyaeleza yeye bali Kikwete.

“Hapa tunasikia sauti inalia nyikani, sasa hatumuoni mtu anayelia, wakristo tunataka kumsikia yeye mwenyewe na siyo kutuma mtu bali aseme yeye kwa kinywa chake hadharani kuwa Tanzania hakuna udini na nchi haitajiunga na OIC.” alisema mchungaji mmoja akimueleza Membe.

Kwa upande wa mafisadi mmoja wa viongozi hao wa dini walikaririwa akimuuliza iwapo ana dhamira ya kupambana na ufisadi ni kwa nini ameweza kusimama hadharani na kuwashika mkono akiwaombea kura baadhi ya watuhumiwa, ambao serikali yake imewafikisha mahakamani huku akitolewa mfano wa nchi ya Malawi ambako waziri mmoja amefilisiwa na kukamatwa kutokana na ufisadi.

Mmoja wa viongozi hao wa dini alimtahadharisha Membe kuwa anapaswa kutambua kuwa Watanzania wa sasa siyo sawa na wale wa zamani na kwamba sasa anapaswa kuwajibu vyema wapouuliza.
Walisema iwapo anasema faida ya kujiunga OIC ni kwa ajili ya kupata fedha za kusaidia taifa na kuhoji taifa limeshindwa vipi kunifaika na raslimali zake kama madini kiasi cha kuhitaji fedha za OIC.
“Membe alisema mambo yote ambayo ameyazungumzia na kwao yamezushwa wakati huu wa uchaguzi na kubainisha kuwa wanaozusha ni kundi la waliokosa uongozi ndani ya CCM.

Hata hivyo, nje ya hoteli hiyo Membe alipotakiwa na waandishi wa habari kuzungumzia kikao chake na viongozi wa dini, alikataa na kuwakimbia ambapo alijikuta akiliacha gari lake na kuingia gari la mkuu wa mkoa wa Mwanza ambaye alimkumbusha kuwa hilo halikuwa gari lake na kurudi kuingia gari lake na kuondoka.
Naye Mwenyekiti wa Umoja wa dini na Madhehebu ya Kikristo, Charles Sekelo ambaye ni Askofu wa Kanisa la CECT, alipoulizwa kuhusuna na kikao hicho alikiri kuzungumza kwa mambo hayo na kueleza kwamba Membe alidai alikuwa akimsafisha Kikwete kutokana na kuvuma kwa mambo machafu.

“Kwa maneno yake Membe alisema madhumuni ya kikao chake nasi ilikuwa ni kusafisha juu ya mambo hayo, alidai yameuwapo mambo mengi mchafu ya kumchafua Kikwete na CCM, na kumbe alikuja kusafisha.” alieleza Askofu Sekelo.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Kanisa la Anglikana katika kikao hicho, Geoffrey Salum alisema, Membe alikuwa akijaribu kuwashawishi viongozi hao kujenga imani na serikali.
“Membe hajafanikiwa kutokana na msimamo wa viongozi wa dini ulivyokuwa ndani ya ukumbi huo, kwani ameshindwa kukidhi haja ya maswali yao na diyo maana wengi wamemweleza wazi kuwa wanataka Kikwete mwenyewe akiri hakuna udini nchini,” alieleza Salum.

Hata hivyo, Mchungaji David Emanuel wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, alisema katika kikao hicho wametoa dukuduku lao na kueleza wazi kuwa hawaafikiani na serikali yake.
Source: Mwananchi
 
Mimi najiuliza kwanini aonane na kundi moja tu la dini? Kwangu hii ni technique inayoweza tafsiriwa kana kwamba wao wakristo ndio wenye matatizo ya udini. Ingefaa angekutana na dini zote hata wabudha. Kwa maneno mengine nikupandikiza uhasama kwa hao wakristo wananchi wawaone waondio wenye matatizo. Wachungaji wangekataa kukutana nae mpaka wengine wawepo.
 
WAZIRI Benard Membe leo alikuwa na wakati mgumu kuwabembeleza viongozi wa madhehebu na Dini za Kikristu pale alipokuwa akifanya nao kikao kuwasii wasimchukue JK na kupuuza uvumi unaoenezwa na kwamba serikali yake inao udini.

Alisema kuwa katika uvumi huo inadaiwa serikali ya Tanzania itajiunga na OIC mwaka 2012 na kuanzisha Mahakama ya kadhi kipindi cha utawala wa JK na kusema hayo siyo kweli na kwamba ametumwa na JK kuja kusafisha hali ya Hewa kwa viongozi wa dini Mwanza.

Katika majibu ya viongozi hao wa dini walimjibu Membe kuwa kama nchi haina Udini kwa nini JK hakemei udini na kwamba kwa nini aibuke na kumtuma Membe wakati huu wa uchaguzi tu kama siyo siasa.

Pili walimueleza kuwa ameshindwa kuwawajibisha mafisadi na kuwanadi jukwaani hivyo kumtamkiwa wazi kuwa hawako tayari kumchagua kuwa kiongozi na kama alitambua jambo hilo alipaswa kuwaona yeye mwenyewe na kutamka wazi mbele yao kuwa Tanzania haijaingia katika Udini na siyo kuwatumia mtu kwani kufanya hivyo ni sawa na kujisafisha katika kampeni.

Membe aliondoka bila muafaka wa viongozi hao wa dini na hata alipofika nje alikataa kuongea na waandishi wa habari.

CCM lazima ifikirie na kujitayarisha kukabidhi madaraka pasipo kuleta vurumai. Kwani ujanja wao sasa umefika mwisho.
 
Back
Top Bottom