Amen....Pumbavu!
huyo sheikh ubwabwa ni msemaji wa serikali??
Hao nao washakuwa wapuuzi, hao sio viongozi wa dini ni wahuni waliojivika kofia za kuongoza dini.
Endelee kumshabikia huyo kichaa wenuAgenda nyingine hii kapewa Lissu ya kuhutubia pale Arusha. Tusubiri kumsikia jinsi atakavyopayuka hadi mate yatakauka. Mpaka agundue kuwa anasulubishwa kisaikologia atakuwa kesha henya hasa.