Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
tatizo lake ana majini 6 tu.Hahahaaaa...... sliambulia kura 6 pamoja na majini yake!
tatizo lake ana majini 6 tu.Hahahaaaa...... sliambulia kura 6 pamoja na majini yake!
Maendeleo ni kondomu yamejificha ngoja tusuburie hawa wachumia tumbo waje kutuonyeshaHivi maendeleo yanaonekana, watu wanayahisi katika shughuli zao za kila siku. Sio huku kulazimishana mpaka na viongozi wa dini watuambie maendeleo sisi tunakuwa hatujui au. Hali ngumu naona
Haikatazwi kwani hata wewe unaweza kuyasema mambo yaliyofanyika Kwa uzuri awamu hii ya JPM, shida iko wapi Hadi uwe na gubu Kwa wenzako bwabwa la Chadema wewe?huyo sheikh ubwabwa ni msemaji wa serikali??
Viongozi wa dini walikutana juzi, hawa kina Mussa na Gwajima ni Wajasiriadini.
Ufipa mnaye shehe majini!
Viongozi maslahi. Sio viongozi wa dini hao. Walishindwa kuongelea watu kupotea, walishindwa kuongea maiti kwrnye viroba, walishindwa hata kukemea watu walipi taka kumuomvea Lissu apone.
Hao Viongozi wa Dini Wapumbavu unamaanisha Dk. Bagonza, Severine Niwemugizi na Dk. Shoo? Basi sawa. Binafsi nimekuelewa.Viongozi wa dini "Wapumbavu" . Hawajui maana ya kiongoizi wa watu!
Pumbavu!nasubiri kuona kiongozi yeyote wa dhehebu langu analeta pua yake kwenye kongomano hilo.
kama kuna kiongozi yeyote wa dhehebu langu amepanga kuhudhuria, basi aanze kufungasha rambo zake kurudi zake huko bush kwao kwani atakuwa amejifukuzisha kazi/huduma mwenyewe.
kwa hiyo, ewe kiongozi wa dhehebu langu unayenisoma sasa humu JF waambie viongozi wenzio kwamba hatuwafokei bali HABARI NDIYO HIYO.
uchaguzi ni wenu!
Aisee kundi la kihuni hapa nchini liko moja tu nalo ni la kisiasa pinzani tena chadema..hao ni wahuni wala unga, hilo ndo kundi la kihuni wanalojua waTanzania wengi bila kusemaHicho ni kikundi cha wahuni kama wahuni wengine tu! Hakuna kiongozi wa dini hapo