Viongozi wa dini kemeeni watoto wa kike waliokwenda JKT kudhalilishwa

kuna kitu kinaitwa specialization.
ndo maana kuna polisi, jwtz, usalama wa taifa, takukuru, uhamiaji , askari wanyama pori na kitengo cha kuzuia na kupambana na ugaidi.
Na jkt haikuundwa ili kupambana na ugaidi, tuna askari wa kutosha wa ardhini tanzania. tuna ongoza afrika mashariki. jkt haina faida ya kiuchumi. waliotoka bado sio wazalendo na jkt ndo makao makuu ya mmomonyoko wa maadili kuna matusi ambayo huwezi kuyataja hapa.
tanziania can not aford this luxuary.
nchi maskini inatumia kodi kwa vitu visivyokua na maana kbs. jkt ni wastage of money and national resources, bora wangekua wanazalisha chakula hata cha kujilisha wenyewe tu. kutwa kuruka vichura na kutukanana tu.

Taifa lazima liwe na watu Imara na wakakamavu,j wavumilivu kwa kila hali hasa vijina...hii ndio rasilimali muhimu zaidi.....
 
Lazima uweke propaganda hiyo kwani unajua unapungukiwa vijana wasomi wa kuwarubuni kujiunga na Elshababu,Boko haram na wenzenu wengine! Wakala wa kutafuta vijana kanda hii nani asiyekujua? JKT imekuwa mwiba kwenu,mnajaribu kuiua ilimradi wako na wenzako unyanyuke,mmekwisha!!

From Huey Freeman to a Domestic terrorist. duh

anyway kwa taarifa ya jkt ni bure kabisa kijana aliehitimu jkt yule bora kabisa hana uwezo wa kujiunga na kikundi kama cha al shabaab. wengi wamepata chance ya ku lenga shabaha mara moja tu. tena unapewa risasi tano wakati al shabaab na boko haram tangia wakiwa wadogo bunduki kwao ni toys.
UTANI UNAJIBIWA KWA UTANI. . MIMI SIO WAKALA WA M2
 
swala la kwanza mtoto wako ni wakike au wakiume?
awe wakike awe wakiume swala la kuinamishwa kukaguliwa huko nyuma hatakuhadithia . .wengi watakwambia walikaguliwa kama washawahi kufanya vitendo vya ushoga lakini hawatakwambia walipimwaje.
kuvalishwa nguo zinazoishia mapajani sio la kubisha, kutukanwa ni kama kawaida, kutongozwa ndo usiseme maafande wako active sana kwa hilo.

dunia imebadilika kaka na hata hio jkt yako uliopitia labda ulipita ukapata bahati kambi yenu haya mambo mengi huku yaona.
?
Dunia haijabadilika ni ileile bali watu hubadilika,unaposema JKT yangu unakosea, mimi sina JKT ninachojua JKT ni moja tu! Pia kama unajua kuna kambi tofauti kwanini upotoshe uma kuwa JKT yote ina mapungufu na siyo salama kwa watoto wa kike?
 
Taifa lazima liwe na watu Imara na wakakamavu,j wavumilivu kwa kila hali hasa vijina...hii ndio rasilimali muhimu zaidi.....

Kuna kitu kimoja nimekigundua kua watanzania hatujui kua sisi ni masikini. pili watanzania hatujui uchumi na wachumi serikalini wanajua uchumi kwenye makaratasi.

jkt is luxuary prove me wrong.
 
?
Dunia haijabadilika ni ileile bali watu hubadilika,unaposema JKT yangu unakosea, mimi sina JKT ninachojua JKT ni moja tu! Pia kama unajua kuna kambi tofauti kwanini upotoshe uma kuwa JKT yote ina mapungufu na siyo salama kwa watoto wa kike?

mwanao akirudi kaa nae vizuri , muweke katika mazingira ya kirafiki zaidi ya ubaba labda anaweza akakumegea machache.
naona mimi hutaniamini.
 
Kwa iyo nyinyi wakristo mnaridhika watoto wenu wa kike kunyanyaswa jkt

hakuna anayeridhika, wanaumia lakini hawana pa kushtaki. Kwa sababu hao maafande walipitia mateso hayo basi wanataka kila mtu apitie. Mabadiliko yanahitajika.
 
Mawazo kama haya yatasikilizwa na fungu la kukosa! Maelezo mengi ya members wanaopinga jkt yameegemea ktk hasira ya watu waliokwenda huko kwa lengo la kupata ajira halafu hawakupata. Lengo la kupitia jkt siyo maadili pekee yake. Moja ya mafunzo lengwa ktk hili ni msingi wa habari zinazohusiana na mfumo wa ulinzi ktk nchi. Kiongozi wa kisiasa asiyejua hata abc ya kijeshi ni hatari haswa akipata nafasi yenye maamuzi yanayoambatana na mfumo wa ulinzi. Yapo matukio machache ya giza yanayotokea huko lkn hayasababishwi na mfumo isipokuwa wakufunzi binafsi na tena wanaojificha. Ni wapi na dunia ipi uovu hauonekani? Ni huko mashuleni kwa watoto wetu wasiovuta bangi na kujihusisha na ngono? Ni makanisani na misikitini ambako hatugambanii mali, madaraka, kumwagiana tindikali na kuuana? Huenda ni kwenye vyama vya siasa ambako hatufukuzani kulinda masuala binafsi na kuteuana mke na mme kwny nafasi nyeti za kushughulikia maamuzi ya kitaifa. Au ni huko jeshi la marekani lisilo na kashfa ktk mafunzo yake huko Oklahoma au ktk operations zake huko abu ghraibu? Au jeshi la uingereza na madudu ya gharissa? Na huko mitaani tusiko na kazi, tusiko na magenge ya mbwa mwitu na komando yosso? Wapi na ni sehemu gani?! Je, si vyema tukajitayarisha dhidi ya kagame, bingu, na CoW? Je, wabunge wetu, wakuu wa dini, na sisi tunaopiga zumali hatulioni? Je, si vyema tukachangia kuboresha badala ya kupiga kelele kuvunja na kusubiri israel ya africa kuja kutuchachafya kule kigoma, bukoba na hata wengine wajitwalie ziwa lote? Watu wanaotegemea kwenda jkt kwa ajili ya ajira wakafanya mafunzo bila kuajiriwa hawatupotoshi?
 
Kama kawaida yetu waTZ tupo subjective badala ya kuwa objective

Hapo hapo hatu take into consideration kuwa nchi zaid ya tatu za afrika mashariki zimeingia mkataba wa kiulinzi wa kusaidiana kivita

Nchi nyingne hapo chini inataka Ziwa. Hivi unadhani ikitokea vita katika fronts zaidi ya tatu kuna askari wa kutosha ?!!!

JKT ni strategy yetu ya kujihami,tunatengeneza footsoldiers kwenda hizo possible fronts
 
Acha uoga wewe, hayo yanaweza fanyika hata mitaani......
UTANGULIZI

Serikali ya ccm imerudisha JE SHI LA KUJENGA TAIFA wa kiamini kua itarudisha uzalendo uliopotea. mimi binafsi siamini katika njia hiyo kua ndio itarudisha uzalendo ila naamini katika viongozi ndo kua mfano wa kuigwa katika swala la uzalendo. mfano halisi ni tanzania ya utawala wa mwalimu nyerere ni tofauti na tanzania ya kikwete. mwalimu nyerere alifundisha uzalendo kwa matendo yeye mwenyewe alikua ni mzalendo lakini viongozi wa sasa sio wazalendo nchi imeshaharibika uzalendo haununuliwi wala haulazimishwi kwani uzalendo ni upendo. uzalendo ni hali ya mtu kuipenda nchi yake.

MADA HUSIKA.
Huko jkt ambapo vijana wakikristo na wakiislamu wamekua wakipelekwa kumekua na vitendo vikifanyika kinyume na maadili, kinyume na haki za binadamu na kinyume na dini zetu.

1.MAVAZI YANAYO VALIWA JKT.
Vibukta vinavyovaliwa jkt havina tofauti na vile tunavyoviona kwenye kumbi za starehe makahaba wakiwa wamevivaa. huwezi amini ila kama hujawahi kuona hata picha uliza tu. zile kombakti wanazoziita karanga huvaliwa kipindi tu wanapomaliza mafunzo. lakini kipindi chote wako mafunzoni ni mwendo wa vibukta na t shirt nyepesi ya mikono mifupi sasa kwa wasichana kutokana na maumbo yao nguo zile huwabana sana makalio yanakua yamechoreka, mapaja yako wazi yani aibu tupu. Sasa katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu hali ya mabinti wa kiislamu kule jkt sijui ikoje, wakati hamna kujisitiri makalio , mapaja , vichwa vipo wazi.

2.KUKAGULIWA WAKIWA UCHI.
Hili ni swala la pili ambalo kama hujaenda jkt huwezi kuliamini na wengi walioeenda wanaona aibu hata kuliongelea. mimi mwenyewe ntaliongolea kwa ufupi ila kama hutaniamini uliza vijana wa form six waliopita jkt. Kwa ufupi ni kua kuna ukaguzi ambao hufanywa kila kombania kila mtu lazima afanyiwe. Japo wenyewe wanasema ni vipimo vya kiafya mimi nasema ni ukaguzi wa mwili kwani kila mtu (kuruta) anapaswa kuingia kama alivyozaliwa (uchi) kwenye chumba ambacho mkaguzi anakua mmoja lakini ikatokea ni jinsia tofauti basi anaitwa mwanajeshi mmoja jinsia yako ili akikukagua lisijelikatokea lolote.
hapa namaanisha watoto wakike wanakaguliwa sehemu zao za siri na wanajeshi, wanaume vile vile wanafanyiwa hivyo kwa kile kinachoitwa kupimwa kama washawahi kufanyiwa vitendo vya ushoga (usiulize wanafanyaje ni aibu).

3.LUGHA ZA MATUSI.
Maafande jkt ni watu wenye hasira sana sijui ni kwasababu ya mshahara mdogo au ipi. lakini hata wakati watu wa furaha lugha za matusi makubwa yamekua yakitawala jeshini , siwezi kuyataja hapa lakini jueni tu kua uzalendo jkt unafundishwa kwa matusi makubwa sana. Matusi ya nguoni vijana wa kikristo na kiislamu wamekua wakitukanwa wakike kwa wakiume yani mtoto kama hajaharibikia pote huko basi jua jeshini ataharibikiwa. Serikali sijui jkt mnafundisha uzalendo au matusi.

4.NGONO.
Hapa siongelei mapenzi kati ya mtu na mtu bali ni ngono kwani mara nyingi si kati ya form six leavers kwani kutokana na uchovu vijana wawatu hawawezi kuwafanyia chochote mabinti. maafande wana chukua opportunity ya vyeo vyao kuwapata wasichana wakikataliwa basi huwa mbogo kwa muhusika au kombania nzima yani ni kazi mtindo mmoja hamna kupumzika kazi zikiisha ni kukimbizwa kimbizwa , mazoezi yasiyo na mwanzo wala mwisho mpaka mtambue yeye ni nani.
mara nyingi binti hutongozwa kwa lugha laini na usiri kwani wanajua kuna usalama wa taifa na adhabu ya kufanya ngono kwa maafande unaweza hata ukavuliwa gwanda. hivyo maafande wakikataliwa hawana lingine la kufanya zaidi ya kuwapa mazoezi makali na kazi nyingi. hii humaliza hasira yao lakini kuna mabinti wenye roho nyepesi huenda na maji, maafande huwatumia kweli kweli.

5. VIFO.
Vifo vingi hutokea jkt na ni vichache tu ambavyo vina ripotiwa , vingi taarifa zina pelekwa kwa wazazi kimya kimya media na taifa kwa ujumla hauvitambui.
vifo jkt asikwambie mtu vina tokana na kazi, mazoezi mazito na kutokulala. masaa mengi ya kulala jeshini ni manne tu masaa zaidi ya ishirini mtu uko active. chakula ni kizuri lakini appetite ya kula jeshini hupotea kabisa kutokana na kazi na ochovu sijui kwanini labda wanaojua biology watakuja kunisaidia. hivyo vijana wanakua hawali, hawapumziki na hawalali.hivi ndo vinasababisha vifo jkt.

HITIMISHO.
Uzalendo hauwezi kuletwa kwa namna hii hata sikumoja serikali inatumia mabilioni kwenye huu upumbavu tuna maswala ya msingi yanayoleta faida kwenye hii nchi masikini. matumizi haya ya pesa za wananchi si ya lazima na ni yakipumbavu. kama mtu anabisha anipe impact yake mpaka sasa.
uzalendo utaanzishwa na viongozi na uzinduliwe na rais wa jamuhuri ya muungano ila si huu wa kutafutia jkt.

pili na kubw lilionileta hapa. viongozi wa dini kemeeni vitendo vinavyofanyika jkt hasa mavazi na upuuzi mwingine BILA HIVYO MTAPOTEZA SIFA YA KUTUONGOZA. KWELI SERIKALI HAINA DINI LAKINI WANANCHI TUNADINI. VIMINI JKT IWE MWISHO.

MASHEIKH , MA PADRI, WACHUNGAJI THIS IS YOUR GROUND SIO KUWALAZIMISHA UKAWA WARUDI BUNGENI, ACHENI KUTUMIKA.


Mtanisamehe nilitaka kusahau hili.
SHARTI KUBWA NI PALE MKILA KIAPO JKT KWANI MNAAPISHWA KUTOKUANDAMANA UNDER ANY CIRCUMSTANCES KUNA MKWARA ETI ALIE PITIA JKT AKAANDAMANA AMEVUNJA KIAPO NA ATAHUKUMIWA KIJESHI. SASA HII NI SIASA. SERIKALI YA CCM YAWEZEKANA WAMEANZISHA JKT KWA SABABU ZA KISIASA.
ANY WAY OUR COUNTRY IS POOR WE CANT AFFORD THIS LUXUARY OF PAYING AND FEEDING PEOPLE WHO CONDUCT UNPRODUCTIVE WORKS.
 
UTANGULIZI

Serikali ya ccm imerudisha JE SHI LA KUJENGA TAIFA wa kiamini kua itarudisha uzalendo uliopotea. mimi binafsi siamini katika njia hiyo kua ndio itarudisha uzalendo ila naamini katika viongozi ndo kua mfano wa kuigwa katika swala la uzalendo. mfano halisi ni tanzania ya utawala wa mwalimu nyerere ni tofauti na tanzania ya kikwete. mwalimu nyerere alifundisha uzalendo kwa matendo yeye mwenyewe alikua ni mzalendo lakini viongozi wa sasa sio wazalendo nchi imeshaharibika uzalendo haununuliwi wala haulazimishwi kwani uzalendo ni upendo. uzalendo ni hali ya mtu kuipenda nchi yake.

MADA HUSIKA.
Huko jkt ambapo vijana wakikristo na wakiislamu wamekua wakipelekwa kumekua na vitendo vikifanyika kinyume na maadili, kinyume na haki za binadamu na kinyume na dini zetu.

1.MAVAZI YANAYO VALIWA JKT.
Vibukta vinavyovaliwa jkt havina tofauti na vile tunavyoviona kwenye kumbi za starehe makahaba wakiwa wamevivaa. huwezi amini ila kama hujawahi kuona hata picha uliza tu. zile kombakti wanazoziita karanga huvaliwa kipindi tu wanapomaliza mafunzo. lakini kipindi chote wako mafunzoni ni mwendo wa vibukta na t shirt nyepesi ya mikono mifupi sasa kwa wasichana kutokana na maumbo yao nguo zile huwabana sana makalio yanakua yamechoreka, mapaja yako wazi yani aibu tupu. Sasa katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu hali ya mabinti wa kiislamu kule jkt sijui ikoje, wakati hamna kujisitiri makalio , mapaja , vichwa vipo wazi.

2.KUKAGULIWA WAKIWA UCHI.
Hili ni swala la pili ambalo kama hujaenda jkt huwezi kuliamini na wengi walioeenda wanaona aibu hata kuliongelea. mimi mwenyewe ntaliongolea kwa ufupi ila kama hutaniamini uliza vijana wa form six waliopita jkt. Kwa ufupi ni kua kuna ukaguzi ambao hufanywa kila kombania kila mtu lazima afanyiwe. Japo wenyewe wanasema ni vipimo vya kiafya mimi nasema ni ukaguzi wa mwili kwani kila mtu (kuruta) anapaswa kuingia kama alivyozaliwa (uchi) kwenye chumba ambacho mkaguzi anakua mmoja lakini ikatokea ni jinsia tofauti basi anaitwa mwanajeshi mmoja jinsia yako ili akikukagua lisijelikatokea lolote.
hapa namaanisha watoto wakike wanakaguliwa sehemu zao za siri na wanajeshi, wanaume vile vile wanafanyiwa hivyo kwa kile kinachoitwa kupimwa kama washawahi kufanyiwa vitendo vya ushoga (usiulize wanafanyaje ni aibu).

3.LUGHA ZA MATUSI.
Maafande jkt ni watu wenye hasira sana sijui ni kwasababu ya mshahara mdogo au ipi. lakini hata wakati watu wa furaha lugha za matusi makubwa yamekua yakitawala jeshini , siwezi kuyataja hapa lakini jueni tu kua uzalendo jkt unafundishwa kwa matusi makubwa sana. Matusi ya nguoni vijana wa kikristo na kiislamu wamekua wakitukanwa wakike kwa wakiume yani mtoto kama hajaharibikia pote huko basi jua jeshini ataharibikiwa. Serikali sijui jkt mnafundisha uzalendo au matusi.

4.NGONO.
Hapa siongelei mapenzi kati ya mtu na mtu bali ni ngono kwani mara nyingi si kati ya form six leavers kwani kutokana na uchovu vijana wawatu hawawezi kuwafanyia chochote mabinti. maafande wana chukua opportunity ya vyeo vyao kuwapata wasichana wakikataliwa basi huwa mbogo kwa muhusika au kombania nzima yani ni kazi mtindo mmoja hamna kupumzika kazi zikiisha ni kukimbizwa kimbizwa , mazoezi yasiyo na mwanzo wala mwisho mpaka mtambue yeye ni nani.
mara nyingi binti hutongozwa kwa lugha laini na usiri kwani wanajua kuna usalama wa taifa na adhabu ya kufanya ngono kwa maafande unaweza hata ukavuliwa gwanda. hivyo maafande wakikataliwa hawana lingine la kufanya zaidi ya kuwapa mazoezi makali na kazi nyingi. hii humaliza hasira yao lakini kuna mabinti wenye roho nyepesi huenda na maji, maafande huwatumia kweli kweli.

5. VIFO.
Vifo vingi hutokea jkt na ni vichache tu ambavyo vina ripotiwa , vingi taarifa zina pelekwa kwa wazazi kimya kimya media na taifa kwa ujumla hauvitambui.
vifo jkt asikwambie mtu vina tokana na kazi, mazoezi mazito na kutokulala. masaa mengi ya kulala jeshini ni manne tu masaa zaidi ya ishirini mtu uko active. chakula ni kizuri lakini appetite ya kula jeshini hupotea kabisa kutokana na kazi na ochovu sijui kwanini labda wanaojua biology watakuja kunisaidia. hivyo vijana wanakua hawali, hawapumziki na hawalali.hivi ndo vinasababisha vifo jkt.

HITIMISHO.
Uzalendo hauwezi kuletwa kwa namna hii hata sikumoja serikali inatumia mabilioni kwenye huu upumbavu tuna maswala ya msingi yanayoleta faida kwenye hii nchi masikini. matumizi haya ya pesa za wananchi si ya lazima na ni yakipumbavu. kama mtu anabisha anipe impact yake mpaka sasa.
uzalendo utaanzishwa na viongozi na uzinduliwe na rais wa jamuhuri ya muungano ila si huu wa kutafutia jkt.

pili na kubw lilionileta hapa. viongozi wa dini kemeeni vitendo vinavyofanyika jkt hasa mavazi na upuuzi mwingine BILA HIVYO MTAPOTEZA SIFA YA KUTUONGOZA. KWELI SERIKALI HAINA DINI LAKINI WANANCHI TUNADINI. VIMINI JKT IWE MWISHO.

MASHEIKH , MA PADRI, WACHUNGAJI THIS IS YOUR GROUND SIO KUWALAZIMISHA UKAWA WARUDI BUNGENI, ACHENI KUTUMIKA.


Mtanisamehe nilitaka kusahau hili.
SHARTI KUBWA NI PALE MKILA KIAPO JKT KWANI MNAAPISHWA KUTOKUANDAMANA UNDER ANY CIRCUMSTANCES KUNA MKWARA ETI ALIE PITIA JKT AKAANDAMANA AMEVUNJA KIAPO NA ATAHUKUMIWA KIJESHI. SASA HII NI SIASA. SERIKALI YA CCM YAWEZEKANA WAMEANZISHA JKT KWA SABABU ZA KISIASA.
ANY WAY OUR COUNTRY IS POOR WE CANT AFFORD THIS LUXUARY OF PAYING AND FEEDING PEOPLE WHO CONDUCT UNPRODUCTIVE WORKS.

Mkuu wewe unaonekana hukupita jkt,mimi nilipita jkt mwaka 1990 na haya ya vibukta havikuanza leo ,usitie shaka sijaona jipya uliloliandika
 
Mkuu wewe unaonekana hukupita jkt,mimi nilipita jkt mwaka 1990 na haya ya vibukta havikuanza leo ,usitie shaka sijaona jipya uliloliandika

kati ya wajinga nilio wahi kuwaona kwa mwaka huu nadhani wewe leo umevunja rekodi, 1990 - 2014???????? unatia hadi kichefu chefu maana hujui hata dhana ya mtoa mada, nadhani hata umri wako pia bado haujajitosheleza kujenga hoja.
 
hakuna anayeridhika, wanaumia lakini hawana pa kushtaki. Kwa sababu hao maafande walipitia mateso hayo basi wanataka kila mtu apitie. Mabadiliko yanahitajika.

Ndio maana heading ikasema watu washikamane kukemea haya majanga kwa watoto wetu
 
Manyanyaso ni kitu kingine na sio jkt hata huku mtaani tunapinga....Ila mafunzo ni muhimu ili vijana wawe fit kababilina na waovu kama boko haram na Alshabab na hata UAMSHO hapo baadae...kwa hoja ya mavazi kwangu mimi sio msingi sana kwakua Mavazi ni sehemu ya Mafunzo hayo.....

Mtoto aliyeenda jkt akabiliane na boko haram?
Makubwa haya
 
kati ya wajinga nilio wahi kuwaona kwa mwaka huu nadhani wewe leo umevunja rekodi, 1990 - 2014???????? unatia hadi kichefu chefu maana hujui hata dhana ya mtoa mada, nadhani hata umri wako pia bado haujajitosheleza kujenga hoja.


Usipaniki relax,haya mambo yapo juu ya uwezo wako wa kufikiri
 
Hebu wanajamvi tujiulize maswali Haya....
1. Je Hawa viongozi wetu wasio na uzàlendo hawajapitia jkt?
2. Je mfumo wa ulinzi wa nchi yetu utategemea these unqualified soldiers?
3. Je maadili ya vijana yanaweza kujengwa kwa kufundishwa matusi?
4. Je hakuna other alternative way tunaweza watumia Hawa vijana kulisaidia taifa economically?
Another thing to take and see tofauti Hawa vijana walivyokuja na walivyokuwa awali...utajua faida ya jkt...
Anyway kama hujawahi kufika huwezi jua but ingia utajua ni mate so na taabu..
 
Back
Top Bottom