Hydrobenga
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 1,127
- 212
Hivi CUF mna matatizo gani ? CHADEMA walishasema Huko kaskazini ni nchi yao ,nyinyi mnaenda kuwasumbulia nini ?
Kwanza mlikuwa na viza ? sawa sawa mlivyo dundwa, mnaingilia nchi ya kaskazini bila kufata taratibu...next time na nyinyi
wakikatiza anga zenu watieni adabu...mshasahau JINO KWA JINO ?
Kwanza mlikuwa na viza ? sawa sawa mlivyo dundwa, mnaingilia nchi ya kaskazini bila kufata taratibu...next time na nyinyi
wakikatiza anga zenu watieni adabu...mshasahau JINO KWA JINO ?