Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Madhila ya kukubali kutumiwa yatatufikisha pabaya.
Kwanini CUF walienda/walipita eneo lile lile ambalo wamachinga walikuwa wanajitafutia nafasi ktk soko ambapo ilisemekana kuna purukushani. Je akili na busara ya CUF iko wapi hapo? Kwani wasingeweza kwenda maeneo mengine kisha baadaye kuja kupita eneo hilo likiwa shwari?
Pili, je wamejuaje kuwa waliowapopowa mawe na wana-CHADEMA? Au ndio ktk kukubali kuwa Arusha YOTE nii CHADEMA!
Kama CUF mkishindwa kuthibitisha hii hoja ya uanachama wa waliopiga mawe..... basi msitafute mchawi, busara inasema ondokeni Arusha kwa amani na ustaarab
Kwanini CUF walienda/walipita eneo lile lile ambalo wamachinga walikuwa wanajitafutia nafasi ktk soko ambapo ilisemekana kuna purukushani. Je akili na busara ya CUF iko wapi hapo? Kwani wasingeweza kwenda maeneo mengine kisha baadaye kuja kupita eneo hilo likiwa shwari?
Pili, je wamejuaje kuwa waliowapopowa mawe na wana-CHADEMA? Au ndio ktk kukubali kuwa Arusha YOTE nii CHADEMA!
Kama CUF mkishindwa kuthibitisha hii hoja ya uanachama wa waliopiga mawe..... basi msitafute mchawi, busara inasema ondokeni Arusha kwa amani na ustaarab