hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wilaya ya Magu mkoani mwanza wakiongozwa na Dominique Bubeshi aliyekuwa mjumbe wa kamati tendaji chama hicho wilaya wamekihama chama hicho na kuhamia chama cha mapinduzi mchana wa leo kwa kile walichodai kuwa chama hicho kimepoteza agenda.
Wengine waliokihama chama hicho ni pamoja na Monica maghembe aliyekuwa katibu wa Bawacha kata ya Itumbili,Manyami Kagwebe aliyekuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho wilaya. Toroka uje CCM
Wengine waliokihama chama hicho ni pamoja na Monica maghembe aliyekuwa katibu wa Bawacha kata ya Itumbili,Manyami Kagwebe aliyekuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho wilaya. Toroka uje CCM