mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Uchaguzi 2020 - Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi...
www.jamiiforums.com
Waoga wote huonekana wazalendo katika serikali ya kidikteta!
Kuwa mzalendo ni kuipenda nchi, sio lazima Serikali. Wakati mwingine Serikali hushikwa na kundi la waasi,wahuni au matapeli - JamiiForums Waoga wote huonekana wazalendo katika serikali ya kidikteta maana uoga wao hufanya waunge mkono udikteta huofia uhai wao. Lakini mashujaa wote huonekana sio...
www.jamiiforums.com
Kuwa mzalendo ni kuipenda nchi, sio lazima Serikali. Wakati mwingine Serikali hushikwa na kundi la waasi,wahuni au matapeli
Siku zote nitaendelea kuwaheshimu vijana wa kitanzania wanaoendelea kuikosoa serikali hadharani, pale inapotenda ndivyo sivyo. Pamoja na matukio ya kutisha yanayowakuta vijana/watu wanaoonesha upinzani, kama kutekwa, kupotezwa na kuuawa, lakini bado idadi ya wanaopinga maovu ya serikali...
www.jamiiforums.com
Mwenyezi Mungu walindie afya zao viongozi wetu hawa.
Ni TANZANIA pekee unaweza ukakamatwa kwanza kisha kosa likatafutwa baadae. Ukishapekuliwa.
Ni WATANZANIA pekee wanaweza kufanyiwa haya hapa duniani. We are unique in many ways.
Wagumu ni sisi RAIA wa nchi hii. Hata kuelewa iliyo HAKI yetu tumeshindwa.
Tusilishangae BUNGE letu kuwa vile lilivyo. Wamo WATANZANIA mle waliotokana na sisi tulioko huku nje. Wasingeweza kuwa tofauti na tulivyo sisi. Tena wao bungeni wanalipwa vizuri.
WATANZANIA watu wa hovyo sana. Tena sana.
Yaani hata ushiriki wetu Olimpiki ni mdogo sana kisha wa hovyo kabisa. Nikiwambia sisi WATANZANIA ni wa hovyo sitanii. Ni kila nyanja.
WATANZANIA wenzangu mnaweza kudhani nawatukana lakini ukweli ni kwamba sisi ni wa hovyo ndio sababu mambo ya hovyo yanaendelea mbele ya macho yetu hadharani.
Sisi ni wa hovyo tena hovyo sana.
Eti Mbowe 'Gaidi' anadai KATIBA MPYA hadharani. Huu ni UJASIRI wa AINA yake.
Sasa ni UGAIDI. Sio UTAKATISHAJI na UHUJUMU UCHUMI.
Sisi watanzania watu wa hovyo sana.
Nipo Tayari kwa lolote!! Chama changu naomba kauli.
Mr mkiki.