Dume la Mende
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 423
- 64
Ndugu watanzania naomba mjue baadhi ya viongozi wetu walivyo wezi,viongozi wawili waandamizi wa CDM wanamiliki mgodi huko Nyarugusu kinyume na utaratibu. Hakuna kiongozi wa wilaya wala mkoa aliyekemea swala hilo, hata waziri wa maliasili na utalii anayetamba kusafisha wizara hiyo yuko kimya katika suala hilo.Wananchi wa kawaida wakikata kuni tu tatizo, naomba viongozi wa serikari, siasa, kidini, wanajf na wananchi wote tulisemee suala hili ili waondoke hapa kwa amani kabla nguvu ya umma haijawatoa kwa aibu.