johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
Viongozi watatu wa CHADEMA wilayani Magu walikamatwa na polisi na kushikiliwa kwa zaidi ya saa 6 kwa kosa la kujifungia ofisini na kufanya kikao cha siri wakati huu wa Corona wameachiwa huru baada ya kuomba radhi.
Viongozi hao wakiongozwa na Katibu wa kanda wamesema ni kweli wamefanya kosa kwa kukusanyika wakati kuna kataxo la serikali kuzuia mikusanyiko ili kudhibiti Corona, wameapa kutorudia kosa.
Mkuu wa wilaya kwa kutumia wadhifa wake kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na msamaha aliwataka wasirudie tena upuuzi huo kisha akamuagiza OCD awaachie huru.
Chanzo: Star tv!
Viongozi hao wakiongozwa na Katibu wa kanda wamesema ni kweli wamefanya kosa kwa kukusanyika wakati kuna kataxo la serikali kuzuia mikusanyiko ili kudhibiti Corona, wameapa kutorudia kosa.
Mkuu wa wilaya kwa kutumia wadhifa wake kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na msamaha aliwataka wasirudie tena upuuzi huo kisha akamuagiza OCD awaachie huru.
Chanzo: Star tv!