Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Mkuu Dr. Slaa kukimbia asidhurike (kama kweli alifanya hivyo) ni kwa faida na usalama wa nchi wala sio kwa ajili yake. Tushukuru sana busara hii ya viongozi na intelijensia ya Chadema.
haswaaa! Angedhuriwe dr. Slaa mi ningelipa mara mia moja!