Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Utangulizi.
kuna uchaguzi mdogo unafanyika katika kata ya Ubangwe, Jimbo la Kahama , ni uchaguzi ambao tangu awali mgombea wa Chadema aliwekewa pingamizi kuwa yeye alikuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ubangwe CCM Hakuwahi kuirejesha kadi ya CCM , ila wanasheria wa Chadema walishindwa hilo pingamizi kwenye ngazi ya rufaa , tume makao makuu kwani Mkurugenzi aliamuru kumwondoa kwa hoja dhaifu kama hiyo.
kata hii kampeni zimekuwa ngumu sana kwa Magamba na hivyo;
Jana usiku majira ya saa saba na robo usiku , viongozi wa Chadema wa kanda ya Ziwa mashariki wakiwa kwenye ngome ya yao ya kampeni ndani ya kata ya Ubagwe, walivamiwa na Polisi wakiwa na magari zaidi ya saba na kuwakamata viongozi wote ambao walikuwa wamekaa kwenye eneo hilo, wakiongozwa na Mwenyekiti wa kanda ya Ziwa Mashariki Mbunge SYvester Kasulumbay, na kulala za ndani hadi muda huu wa saa saba mchana leo .
baada ya kuwaweka ndani na wananchi kuonekana kuandamana kuelekea Kahama Mjini , polisi wamewafikisha mahakamani kwa MAKOSA mbalimbali yakiwemo ya kupiga na kujeruhi mwili, kuharibu mali nk. Na ndio wanasomewa mashitaka yao katika mahakama ya wilaya ya Kahama .
Hakimu wa mwanzo aliyekuwa amepangiwa kusikiliza Shauri hilo ameondolewa na kuitwa kwa dharura Hakimu mf aidha wa mahakama ya wilaya, sababu bado kujulikana , ila huenda wakanyimwa dhamana kwani inasemekana kuwa jana jioni makada mbalimbali wa CCM walivamiwa na wananchi wakati wakitoka kwenye kampeni baada ya kupaki gari Lao na kuanza kuwashambulia vijana ambao waliku na skafu za CDM ndipo wananchi walijibu kwa kuliharibu vibaya gari Lao baada cha Kuwazidi nguvu, na baadhi ya makada wa CCM pamoja na wananchi waliokuwa eneo la tukio walijeruhiwa , na kuna taarifa kuwa wapo watu sita katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwa matibabu zaidi.
nitawajulisha hapo baadae , ila hii inaonyesha kuwa IGP mpya kuingia kisiasa kwani mtakumbuka kuwa juzi kule Njombe kiongozi m ja wa Chadema alishambuliwa na makada wa CCM na kuvunja taya na mpaka sasa yupo hospitali ila waliokamatwa ni viongozi na wanachama wa Chadema , .
Ijuliikane kwamba viongozi hawa walifuatwa usiku saa saba na kukamatwa tena wakiwa wamelala na hawakukamatwa kwenye eneo la tukio wala hawakuwa kwenye kijiji tukio lililotokea kwani walikuwa kwenye kampeni kijiji kingine ,
updates.
viongozi wa Chadema walifikishwa mahakamani ni 13 .....
updates ...
wamesomewa mashitaka sita , matano ni ya kujeruhi mwili na moja ni la kuharibu mali , ambalo ni kuharibu gari la CCM .
mwendesha mashitaka ametoa hati ya kiapo ya kuzuia dhamana kwa hoja kuwa majeruhi hali zao ni mbaya sana hivyo watuhumiwa wasipewe dhamana , Hakimu mfawidhi anasubiriwa ili kutoa uamuzi kama wapewe dhamana ama laa.......
UPDATES.
Baada ya maalum nao kuhusu hali za majeruhi kuwa mbaya , Mwendesha mashitaka alitakiwa athibitishe kama wana hali mbaya ama laa, akashindwa kwani hakuwa na Cheti ama taarifa yeyote ya Daktari kuthibitisha hilo.
Kuhusu hoja kuwa wakiachiwa usalama wao utakuwa hatarini,mwendesha mashitaka ametikiwa athibitishe mahakama jambo hilo na ameshindwa ,
Kesi imeahirishwa hadi kesho ambapo Hakimu atatoa uamuzi kuhusu dhamana .........na watuhumiwa wamerejeshwa rumande hadi hiyo kesho.
Updates ...tarehe 6.2.2014
Hati ya mashitaka , nimeshindwa kuiupload ......ila leo Mawakili wameshawasili mahakamani wanasubiria Hakimu ajitokeze
UPDATES
Mahakama imewapatia haki ya kupata dhamana kwa kuwa na masharti ya hati za nyumba , na tayari mchakato huo unaendelea wa kuwatoa wote waliokuwa mahabusu , hii ni baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kuwa wagon jaw wana hali mbaya baada a kukosa hati au uthinitisho wa daktari, pongezi ziwa ended madaktari waliokataa kuandika hati za uongo .
kuna uchaguzi mdogo unafanyika katika kata ya Ubangwe, Jimbo la Kahama , ni uchaguzi ambao tangu awali mgombea wa Chadema aliwekewa pingamizi kuwa yeye alikuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ubangwe CCM Hakuwahi kuirejesha kadi ya CCM , ila wanasheria wa Chadema walishindwa hilo pingamizi kwenye ngazi ya rufaa , tume makao makuu kwani Mkurugenzi aliamuru kumwondoa kwa hoja dhaifu kama hiyo.
kata hii kampeni zimekuwa ngumu sana kwa Magamba na hivyo;
Jana usiku majira ya saa saba na robo usiku , viongozi wa Chadema wa kanda ya Ziwa mashariki wakiwa kwenye ngome ya yao ya kampeni ndani ya kata ya Ubagwe, walivamiwa na Polisi wakiwa na magari zaidi ya saba na kuwakamata viongozi wote ambao walikuwa wamekaa kwenye eneo hilo, wakiongozwa na Mwenyekiti wa kanda ya Ziwa Mashariki Mbunge SYvester Kasulumbay, na kulala za ndani hadi muda huu wa saa saba mchana leo .
baada ya kuwaweka ndani na wananchi kuonekana kuandamana kuelekea Kahama Mjini , polisi wamewafikisha mahakamani kwa MAKOSA mbalimbali yakiwemo ya kupiga na kujeruhi mwili, kuharibu mali nk. Na ndio wanasomewa mashitaka yao katika mahakama ya wilaya ya Kahama .
Hakimu wa mwanzo aliyekuwa amepangiwa kusikiliza Shauri hilo ameondolewa na kuitwa kwa dharura Hakimu mf aidha wa mahakama ya wilaya, sababu bado kujulikana , ila huenda wakanyimwa dhamana kwani inasemekana kuwa jana jioni makada mbalimbali wa CCM walivamiwa na wananchi wakati wakitoka kwenye kampeni baada ya kupaki gari Lao na kuanza kuwashambulia vijana ambao waliku na skafu za CDM ndipo wananchi walijibu kwa kuliharibu vibaya gari Lao baada cha Kuwazidi nguvu, na baadhi ya makada wa CCM pamoja na wananchi waliokuwa eneo la tukio walijeruhiwa , na kuna taarifa kuwa wapo watu sita katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwa matibabu zaidi.
nitawajulisha hapo baadae , ila hii inaonyesha kuwa IGP mpya kuingia kisiasa kwani mtakumbuka kuwa juzi kule Njombe kiongozi m ja wa Chadema alishambuliwa na makada wa CCM na kuvunja taya na mpaka sasa yupo hospitali ila waliokamatwa ni viongozi na wanachama wa Chadema , .
Ijuliikane kwamba viongozi hawa walifuatwa usiku saa saba na kukamatwa tena wakiwa wamelala na hawakukamatwa kwenye eneo la tukio wala hawakuwa kwenye kijiji tukio lililotokea kwani walikuwa kwenye kampeni kijiji kingine ,
updates.
viongozi wa Chadema walifikishwa mahakamani ni 13 .....
updates ...
wamesomewa mashitaka sita , matano ni ya kujeruhi mwili na moja ni la kuharibu mali , ambalo ni kuharibu gari la CCM .
mwendesha mashitaka ametoa hati ya kiapo ya kuzuia dhamana kwa hoja kuwa majeruhi hali zao ni mbaya sana hivyo watuhumiwa wasipewe dhamana , Hakimu mfawidhi anasubiriwa ili kutoa uamuzi kama wapewe dhamana ama laa.......
UPDATES.
Baada ya maalum nao kuhusu hali za majeruhi kuwa mbaya , Mwendesha mashitaka alitakiwa athibitishe kama wana hali mbaya ama laa, akashindwa kwani hakuwa na Cheti ama taarifa yeyote ya Daktari kuthibitisha hilo.
Kuhusu hoja kuwa wakiachiwa usalama wao utakuwa hatarini,mwendesha mashitaka ametikiwa athibitishe mahakama jambo hilo na ameshindwa ,
Kesi imeahirishwa hadi kesho ambapo Hakimu atatoa uamuzi kuhusu dhamana .........na watuhumiwa wamerejeshwa rumande hadi hiyo kesho.
Updates ...tarehe 6.2.2014
Hati ya mashitaka , nimeshindwa kuiupload ......ila leo Mawakili wameshawasili mahakamani wanasubiria Hakimu ajitokeze
UPDATES
Mahakama imewapatia haki ya kupata dhamana kwa kuwa na masharti ya hati za nyumba , na tayari mchakato huo unaendelea wa kuwatoa wote waliokuwa mahabusu , hii ni baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kuwa wagon jaw wana hali mbaya baada a kukosa hati au uthinitisho wa daktari, pongezi ziwa ended madaktari waliokataa kuandika hati za uongo .