Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Naona kama Spika wa bunge la JMT anakosa hoja na kuweweseka. Hivi baraza kuu la Chadema ndio huvukuza wanachama?
Ndio kusema Spika Ndugai anajikita kuwatetea akina Halima kwa kudai Katiba ya Chadema bado inawatambua akina Halima.
Naomba tupewe ufafanuzi, kama kamati kuu ya Chadema ilisafukuza uanachama, wakakata rufaa. Ndip mpaka baraza kuu likae? Sasa hawa makamanda ni wabunge halali?
Ndio kusema Spika Ndugai anajikita kuwatetea akina Halima kwa kudai Katiba ya Chadema bado inawatambua akina Halima.
Naomba tupewe ufafanuzi, kama kamati kuu ya Chadema ilisafukuza uanachama, wakakata rufaa. Ndip mpaka baraza kuu likae? Sasa hawa makamanda ni wabunge halali?