Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,993
- 144,327
Kwakuwa kesho ni sikuku ya Nanenane (Public holiday), ofisi za serikali/ umma huwa hazifunguliwa isipokuwa kwa baadhi tu ya ofisi au Taasisi ambazo kulingana na nature ya kazi zao,ofisi zao huwa hazifungwi.
Kwa msingi huo, NEC kesho watafungua ofisi zao?
Au katika ratiba waliyotoa ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu(kama ipo) ,siku ya kesho ni moja ya Siku za kutoka na kupokea fomu za wagombea?
Nawashauri CHADEMA watoe maelezo au ushahidi walionao kabla ya kesho unaoonyesha kuwa NEC kesho watafungua ofisi/wamepanga/wanapaswa kufungua ofisi ili lolote likitokea,tuwe na hoja za kusema /kujibu vinginevyo itakuwa vivyo sivyo.
Sitaki kuamini CHADEMA watakuwa wame-overlook hili jambo, bali naamini watakuwa wana uhakika kuwa kesho NEC wanatakiwa kuwa ofisini, ila kutokana na siasa zetu , lolote bado linaweza kutokea, hivyo ni bora kuwawahi kwa kuweka hadharani maelezo /ushahidi wa Tume kesho kutakiwa kufungua ofisi either kwa mujibu wa sheria na taratibu za NEC au kulingana na NEC wenyewe walivyopanga.
Wanaweza kupanga kufungua ofisi hiyo kesho, ila bado wanaweza kusema walipitiwa kuwa kesho sio siku ya kazi alafu tukajikuta tunaanza mjadala mpya juu ya tukio hilo.
In short,hapa na-suggest tufanye kitu ambacho ni pre-emptive, ili lolote likitokea,tuwe kwenye safe side.
Kwa msingi huo, NEC kesho watafungua ofisi zao?
Au katika ratiba waliyotoa ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu(kama ipo) ,siku ya kesho ni moja ya Siku za kutoka na kupokea fomu za wagombea?
Nawashauri CHADEMA watoe maelezo au ushahidi walionao kabla ya kesho unaoonyesha kuwa NEC kesho watafungua ofisi/wamepanga/wanapaswa kufungua ofisi ili lolote likitokea,tuwe na hoja za kusema /kujibu vinginevyo itakuwa vivyo sivyo.
Sitaki kuamini CHADEMA watakuwa wame-overlook hili jambo, bali naamini watakuwa wana uhakika kuwa kesho NEC wanatakiwa kuwa ofisini, ila kutokana na siasa zetu , lolote bado linaweza kutokea, hivyo ni bora kuwawahi kwa kuweka hadharani maelezo /ushahidi wa Tume kesho kutakiwa kufungua ofisi either kwa mujibu wa sheria na taratibu za NEC au kulingana na NEC wenyewe walivyopanga.
Wanaweza kupanga kufungua ofisi hiyo kesho, ila bado wanaweza kusema walipitiwa kuwa kesho sio siku ya kazi alafu tukajikuta tunaanza mjadala mpya juu ya tukio hilo.
In short,hapa na-suggest tufanye kitu ambacho ni pre-emptive, ili lolote likitokea,tuwe kwenye safe side.