Viongozi wa CHADEMA mliwapokea Lowassa na Sumaye kwa ridhaa ya nani, na kwa manufaa ya nani?

Kila ambae yuko upinzani alikuwa ccm,
Reference ya upinzani inaanzia mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanza. Yeyote aliyebaki ccm baada ya mwaka huo ndo mwana ccm halisi na ambaye alijiunga na upinzani ndo mpinzani halisi.

Kwa kigezo hiki utagundua wanachadema zaidi 95% ni ccm. Lakini vyama kama NCCR na CUF vilipoteza makada wao kutokana na njema hila na ulaghai wa ccm wakati CDM ilitanuka kutokana na kupokea mamluki toka CCM.
 
Haya yote ni impact ya waliohamia kwenu au impact ya muunganiko mliouita Ukawa?

Tuache kujitia upofu jaman, ukawa bila nguvu ya lowasa kuwa chadema it was nothing huo ndio ukweli

Yule mzee apewe credit zake, hakuna mwananchi Tanzania anapiga kura kwa sera za chama, wengi wanapiga kura kwa uoga wa future yao au kwa ajili ya mgombea tu
 
Hata CHADEMA au ACT kikiunda serikali bado viongozi uliowataja wataendelea kulipwa na kulindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mimi nadhani pamoja na Mh. Lowasa na Sumaye kurudi CCM bado wafaidika ni CHADEMA/UKAWA kwa maana ujio wao uliweza kuongeza idadi ya wabunge kwa upande wa vyama vya upinzani. Kwa uwiano wa wabunge kwa sasa sidhani kama wabunge wa CCM wanaweza kufanya mabadiliko ya katiba bila kupata uungwaji wa wenzao toka vyama vya upinzani.
Kama hivi
FB_IMG_1581519008295.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
That the mistake we human make, you didn't see anything from CHADEMA OR MBOWE perspective ?????? MLETA UZI JIBU
 
Kuna uwiano upi kati ya upimzani na Ccm mkuu,?
Hata CHADEMA au ACT kikiunda serikali bado viongozi uliowataja wataendelea kulipwa na kulindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mimi nadhani pamoja na Mh. Lowasa na Sumaye kurudi CCM bado wafaidika ni CHADEMA/UKAWA kwa maana ujio wao uliweza kuongeza idadi ya wabunge kwa upande wa vyama vya upinzani. Kwa uwiano wa wabunge kwa sasa sidhani kama wabunge wa CCM wanaweza kufanya mabadiliko ya katiba bila kupata uungwaji wa wenzao toka vyama vya upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi
Mimi hata kwenda kupiga kura 2015 nilighairi kwasababu ya mambo ya hovyo kama haya
Mimi niliona nikighairi ntakuwa nimewapa ushindi CHADEMA. nilipiga kura kila nafasi ya mgombea niliwapa CCM. Sijawah jutia.
Sitaki hata kuwasikia hawa wahuni wakisiasa. Tulipambana kujenga chama mwisho wasiku wakatuona wote wapuuzi. Eti gia ya angani?!
 
Mi
Mimi niliona nikighairi ntakuwa nimewapa ushindi CHADEMA. nilipiga kura kila nafasi ya mgombea niliwapa CCM. Sijawah jutia.
Sitaki hata kuwasikia hawa wahuni wakisiasa. Tulipambana kujenga chama mwisho wasiku wakatuona wote wapuuzi. Eti gia ya angani?!
😀😆hawa jamaa walituingiza king wanaharakati wao kibao
 
Habari!

Mimi napenda kuwauliza viongozi wa CHADEMA. Je, uamuzi wa haraka wa kuwapokea na kuwapa nafasi haraka viongozi hawa wanaolipwa na kulindwa na serikali mpaka kifo chao mliotoa wapi?

Kwanini mliwapa nafasi ndani ya CHADEMA haraka? Mliamini ikulu mtaingia kupitia hawa? Mlitaka kuongeza ruzuku ndani ya chama mkiamini mtavuna wabunge wengi bila kujali matokeo ya mbeleni?

Je, mtakuwa tayari kuwaomba radhi wananchi kwa uamuzi wenu wa kukurupuka kwa kuwasajili Lowasa na wenzake ambao mliwaita mafisadi papa?

Niwawekee nukuu zenu za nyuma kuwakumbusha kuwa mnasahau haraka mnayoyasema majukwaani?

Je, mtakubali kuwa uwezo wenu wa kufanya reasoning ni mdogo na kwamba mna tatizo la akili?

Mwaka wa uchaguzi umefika, mtaletewa mamluki wengine; nanyi kwa tamaa ya pesa au uelewa mdogo mtawapokea kwa shangwe.
Miaka mitano sasa bado mnajadili haya?
 
Chadema walifaidika sana na ujio wa Lowassa,viti vingi vya ubunge, udiwani,walivyopata Chadema ilikua sababu ya Lowassa!

Lowassa alikua ni mtaji,hata kura zake Milioni sita alizozipata usitegemee zitapatikana kirahisi kwenye chaguzi zinazokuja! Zaidi ya majanga

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mtaji mbona Leo umeshindwa. Wapumbabu tu watawaza kama wewe.hakuwa na mtaji wowote
 
Back
Top Bottom