Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,539
- 25,851
Unaandika insha ndefu ili iweje?Kwa nguvu ya wananchi ilibidi watangazww tu!
Halafu kwenye level ya ubunge,hawachezi rafu sana maana kupoteza jimbo sio issue sana kama kwenye urais!Kama Zanzibar ingekuwa jimbo basi maalimu angetangazwa mshindi maana alishinda mchana kweupe Jecha akafanya yake!
Hakuna tume huru,muulize Kafulila alivyopokonywa tonge,kura ukijumlisha alikuwa kashinda yeye yule mama mgawa papuchi akatangazwa mshindi!Akaambaa na kesi mahakamani,walivyoona inakuwa so,wakamwambia aunge mkono juhudi na atapewa ulaji kwa namna nyingine na aachane na ubunge!
Njaa ikaishinda akili ujanja,akachamgamkia fursa!